Makapuku Forum

Makapuku Forum

Happy furahiday wadau na wale wazee wa swala basi tukimaliza kupiga mkeka tunakutana pale kwenye biriani

Kazi njema, ndugu yenu nitarudi baadaye nataka kusingizia ugonjwa nitoke mapema, nawaza ugonjwa gani bosi wangu hajasikia toka kwangu
 
Happy furahiday wadau na wale wazee wa swala basi tukimaliza kupiga mkeka tunakutana pale kwenye biriani

Kazi njema, ndugu yenu nitarudi baadaye nataka kusingizia ugonjwa nitoke mapema, nawaza ugonjwa gani bosi wangu hajasikia toka kwangu
ukimwambia unaenda kuchukua majibu ya ......saa 5 kamili lzm akutoe chaaaap.

Iwe njema na kwako pia.na huko kwenye birian ni mwaliko au kila mtu aje na hela yake.?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
ukimwambia unaenda kuchukua majibu ya ......saa 5 kamili lzm akutoe chaaaap.

Iwe njema na kwako pia.na huko kwenye birian ni mwaliko au kila mtu aje na hela yake.?

Sent using Jamii Forums mobile app
Hahahaha, huwa naonaga clip mitandaoni , mdada anajiita mariam biriani ana tako hivi la haja , ndio huko mnaenda ?

MTC | 101|
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom