ABJ
JF-Expert Member
- Aug 29, 2017
- 4,922
- 13,817
Nimemmisi jamani shangaziHahahaha shangazi jiwe angekuwepo hapa,hachelew kusema wawil wa kudownload..
Sent using Jamii Forums mobile app
Nimemmisi jamani shangaziHahahaha shangazi jiwe angekuwepo hapa,hachelew kusema wawil wa kudownload..
Sina hakika km ndie anko,ngoja Obe atusaidie ili tukalione hilo wowowo
Sent using Jamii Forums mobile app


kwani huko ni kupatwa kwa Shangazi au.?Teh teh......Shuniekwani huko ni kupatwa kwa Shangazi au.?
Embu njoo bc tumekumisi wanao
Sent using Jamii Forums mobile app




Kaka ake shikamoowazee wa Englebert hawatabiriki wale
Kwema kabisa hamjambo na akina wawiliDada ake kwema??
Nko poa kpenz,vipi wewe
Ninakumiss binamu, sana tu yaani kama isingekuwa Kwaresma basi ningekuagizia mapochopocho na madikodiko ijumaa hii ufurahi. Lakini ndo hivyo tena, Kwaresma imekubana.
Ukifungulia tu nikumbushe![]()




sawasawa binamuukimwambia unaenda kuchukua majibu ya ......saa 5 kamili lzm akutoe chaaaap.
Iwe njema na kwako pia.na huko kwenye birian ni mwaliko au kila mtu aje na hela yake.?![]()
Sent using Jamii Forums mobile app



binamu utamuweza basiMjomba shikamooooHahahaha, huwa naonaga clip mitandaoni , mdada anajiita mariam biriani ana tako hivi la haja , ndio huko mnaenda ?
MTC | 101|![]()
Shuniekwani huko ni kupatwa kwa Shangazi au.?
Embu njoo bc tumekumisi wanao
Sent using Jamii Forums mobile app



Au katekwa?
