Wick
JF-Expert Member
- Dec 19, 2012
- 8,312
- 12,194
Ukiziacha ntateseka, endelea tumia tumia kwanza!..Aiseee Mungu ni mwema na mm naomba Mungu anisaidie jamani niache Heineken yaani
Ukiziacha ntateseka, endelea tumia tumia kwanza!..Aiseee Mungu ni mwema na mm naomba Mungu anisaidie jamani niache Heineken yaani
Kwa nini ngosha unakazia namna hiyo? Kwa nini unamuinkareji sana mwenzio aendelee kuzikamata? Lekaga mamihayo genayo namhalaUkiziacha ntateseka, endelea tumia tumia kwanza!..



Sawa kabsa,acha binamu apambane na hali yake tu kwa kweli
Binamu apambane na abj wake na korosho zake za kuchorwa
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣😹😹😹 Hasira zimejikusanyaSi kama Shunie bro,,ushawahi kuona yupo na neno na mtu??hasira zote zmejikusanya kwenye chura![]()
mambo ya jini likujualo halikuli likakwisha..Kwa nini ngosha unakazia namna hiyo? Kwa nini unamuinkareji sana mwenzio aendelee kuzikamata? Lekaga mamihayo genayo namhala![]()
Ameen zinaniendesha sanaHeineken zinakuendesha eeh? Mimi kuna bia inaitwa Dogfish 90. Yaani ilikuwa lazima nipate angalau tatu vinginevyo siku haitaenda. Endelea kumuomba Mungu na ufanye dhamira ya kweli katika imani. Siku moja utashangaa Atakapokugusa![]()
Mkuu mimi misambwanda sipendi napenda ambao hawana kama huyo uliekua unachat nae










Hahahahah hivi mm ni pasua kichwa kuliko weweweupe mzuri kama wako
hivi..
pasua kichwa wewe..
Fursana ndio bonge la zawadiMama JJ, nawaona na humu wewe ndo ndugu yangu ninayekuamini.
Mambo yangu yakikaa sawa, basi zawadi nitakununulia bonge la zawadi. Utakunywa fursana hadi washangae sana
Binamu achana na mary baki na abj wako...ujue nini binamu, najishangaa sana, nikiwa sina hela basi akili zote zinakuwa kwa ABJ, Ila nikifikiria kulipwa hela zangu za korosho basi akili yote inakuwa kwa Marybaby, yaani huyu mrembo anapendwa sana na hela zangu.
Yaani wewe hata saa hizi ukisema unikopeshe hela basi nakamata phone namtafuta baby Mary
Acha nizisikie tu sababu hizo hela unazotaja hakuna.....kadri unavyonikatisha tamaa ndo hela za korosho utazisikia tu nikilipwa.
Halafu zile za Mo bado sijalipwa ujue (Mimi nilikuwa mlinzi pale gymkhana wakati nafuatilia ishu ya korosho)
Sijambo dogo habari yako
@wickaise sikuwa najua hilo,,mbona huwa anasema anapenda wasukuma,huwa namsikia mara kwa mara akisema ana bebe wake wa kisukuma hukokakimbaumbau bhana kuna anaekateka siku hz kanaonekana kwa nadra