Shunie
JF-Expert Member
- Aug 14, 2016
- 157,400
- 465,166
Limoto lipo mbali uko kulipata sasaWoiiiii[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]lile limoto liweke bhana
Limoto lipo mbali uko kulipata sasaWoiiiii[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]lile limoto liweke bhana
Hahhaha hapana bwana mambo za chitchat hizoNaruhusiwa kukuita shemeji?
Tumetoka mbali jamani...enzi za akina Bitoz...
Hata Mama Mchungaji naye alipotea kimoja...
NdiwoooooooAnachama chake mwenyew cha misambwada[emoji23][emoji23]
Maombi lazima bro [emoji23][emoji23][emoji23] wamekanyima hadi nywilaNilikuwa sijui hilo. Kwa hiyo sasa naweza kumuita shemeji? Ila ajue tu tunakulagaaaa [emoji16][emoji16][emoji16]
Kakimbaumbau nako naona kamekamatwa sawasawa. Tukakumbuke katika maombi ...
Nashangaa mie aliniambia mlokole[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Kwahiyo umebadili gear angani sio mlokole tena
Ni kufurahisha baraza tu mitandaoni humu. Halafu wewe kwa jinsi ulivyo ni lazima tu utakuwa na chura ya kufa mtu halafu mweupe...Huwezi kumkamata mwanaume wa Kisukuma sawasawa bila kuwa na hizo sifa mbili. [emoji16][emoji16][emoji16]Humuonagi likes uko anavyoyapost na nilishamsoma sana kapuku anapenda wanawake waliojazia
Kama hata kumwambia MTU nimekumiss ni kosa basi ulokole hakuna atakaeuwezaKwahiyo umebadili gear angani sio mlokole tena
Afadhali nimeuliza...woiiiii !!! [emoji16][emoji16][emoji16]Hahhaha hapana bwana mambo za chitchat hizo
Labda ilikuwa gia ya kupandia mlima [emoji16][emoji16][emoji16]Nashangaa mie aliniambia mlokole
Msuku kwa rangi nyeupe,anaweka hata ng'ombe 200Ni kufurahisha baraza tu mitandaoni humu. Halafu wewe kwa jinsi ulivyo ni lazima tu utakuwa na chura ya kufa mtu halafu mweupe...Huwezi kumkamata mwanaume wa Kisukuma sawasawa bila kuwa na hizo sifa mbili. [emoji16][emoji16][emoji16]
Sijambo dogo habari yakoHabari dada
Woiiiii chura sina mm avatar yangu ndio inaongeaNi kufurahisha baraza tu mitandaoni humu. Halafu wewe kwa jinsi ulivyo ni lazima tu utakuwa na chura ya kufa mtu halafu mweupe...Huwezi kumkamata mwanaume wa Kisukuma sawasawa bila kuwa na hizo sifa mbili. [emoji16][emoji16][emoji16]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Kama hata kumwambia MTU nimekumiss ni kosa basi ulokole hakuna atakaeuweza
HahhahaahAfadhali nimeuliza...woiiiii !!! [emoji16][emoji16][emoji16]
Kakorofi sana kale. Acha kateseke ili kajifunze. Tena naliomba hilo jamaa lisiwe na huruma likakunje sawasawa kipigo cha mbwa koko mpaka kawe kapole [emoji16][emoji16][emoji16][emoji2221][emoji2221][emoji2221]Maombi lazima bro [emoji23][emoji23][emoji23] wamekanyima hadi nywila
Walokole tunaonewa jamani[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Nimecheka kwa nguvu jinga wewe
Kuna sister ni cheupe halafu toli tulipiga ng'ombe 75 tena wa kujichagulia. Mwenyewe familia moja hivi ya kishua koko wakataka kunipiga ng'ombe 49 nikachomoa aisee. Ila mwanamke akiwa mweupe, toli halafu ana msambwanda kama Shunie hivi aisee ni hatari. Hata hati za mashamba ya urithi natoa aisee [emoji16][emoji16][emoji16]Msuku kwa rangi nyeupe,anaweka hata ng'ombe 200
Kama ni wewe huyo basi ni cheupe. Chura ndo nini bana? Msukuma hapo kwisha habari yake [emoji16][emoji16][emoji16]Woiiiii chura sina mm avatar yangu ndio inaongea
Hahahah unafikiri ulokole jambo la mchezo, ulokole ukashinde jukwaa la dini na intelligence sio eti nimeokoka ushinde mmu na chit chatWalokole tunaonewa jamani