Shunie
JF-Expert Member
- Aug 14, 2016
- 157,076
- 463,978
Limoto lipo mbali uko kulipata sasaWoiiiiilile limoto liweke bhana
Limoto lipo mbali uko kulipata sasaWoiiiiilile limoto liweke bhana
Hahhaha hapana bwana mambo za chitchat hizoNaruhusiwa kukuita shemeji?
Tumetoka mbali jamani...enzi za akina Bitoz...
Hata Mama Mchungaji naye alipotea kimoja...
NdiwoooooooAnachama chake mwenyew cha misambwada![]()
Maombi lazima broNilikuwa sijui hilo. Kwa hiyo sasa naweza kumuita shemeji? Ila ajue tu tunakulagaaaa
Kakimbaumbau nako naona kamekamatwa sawasawa. Tukakumbuke katika maombi ...


wamekanyima hadi nywila
Nashangaa mie aliniambia mlokole
Kwahiyo umebadili gear angani sio mlokole tena
Ni kufurahisha baraza tu mitandaoni humu. Halafu wewe kwa jinsi ulivyo ni lazima tu utakuwa na chura ya kufa mtu halafu mweupe...Huwezi kumkamata mwanaume wa Kisukuma sawasawa bila kuwa na hizo sifa mbili.Humuonagi likes uko anavyoyapost na nilishamsoma sana kapuku anapenda wanawake waliojazia



Kama hata kumwambia MTU nimekumiss ni kosa basi ulokole hakuna atakaeuwezaKwahiyo umebadili gear angani sio mlokole tena
Afadhali nimeuliza...woiiiii !!!Hahhaha hapana bwana mambo za chitchat hizo



Labda ilikuwa gia ya kupandia mlimaNashangaa mie aliniambia mlokole



Msuku kwa rangi nyeupe,anaweka hata ng'ombe 200Ni kufurahisha baraza tu mitandaoni humu. Halafu wewe kwa jinsi ulivyo ni lazima tu utakuwa na chura ya kufa mtu halafu mweupe...Huwezi kumkamata mwanaume wa Kisukuma sawasawa bila kuwa na hizo sifa mbili.![]()
Sijambo dogo habari yakoHabari dada
Woiiiii chura sina mm avatar yangu ndio inaongeaNi kufurahisha baraza tu mitandaoni humu. Halafu wewe kwa jinsi ulivyo ni lazima tu utakuwa na chura ya kufa mtu halafu mweupe...Huwezi kumkamata mwanaume wa Kisukuma sawasawa bila kuwa na hizo sifa mbili.![]()
Kama hata kumwambia MTU nimekumiss ni kosa basi ulokole hakuna atakaeuweza









HahhahaahAfadhali nimeuliza...woiiiii !!!![]()
Kakorofi sana kale. Acha kateseke ili kajifunze. Tena naliomba hilo jamaa lisiwe na huruma likakunje sawasawa kipigo cha mbwa koko mpaka kawe kapoleMaombi lazima browamekanyima hadi nywila






Walokole tunaonewa jamani
Nimecheka kwa nguvu jinga wewe
Kuna sister ni cheupe halafu toli tulipiga ng'ombe 75 tena wa kujichagulia. Mwenyewe familia moja hivi ya kishua koko wakataka kunipiga ng'ombe 49 nikachomoa aisee. Ila mwanamke akiwa mweupe, toli halafu ana msambwanda kama Shunie hivi aisee ni hatari. Hata hati za mashamba ya urithi natoa aiseeMsuku kwa rangi nyeupe,anaweka hata ng'ombe 200



Kama ni wewe huyo basi ni cheupe. Chura ndo nini bana? Msukuma hapo kwisha habari yakeWoiiiii chura sina mm avatar yangu ndio inaongea



Hahahah unafikiri ulokole jambo la mchezo, ulokole ukashinde jukwaa la dini na intelligence sio eti nimeokoka ushinde mmu na chit chatWalokole tunaonewa jamani