Shimba ya Buyenze
JF-Expert Member
- Dec 22, 2014
- 183,582
- 1,105,403
Inasemekana walokole hukulana wao kwa wao mumo kwa mumo ndani kwa ndaniHakuna mlokole hapa hivi mnafanya mchezo na ulokole jamani Mungu hataniwi



Inasemekana walokole hukulana wao kwa wao mumo kwa mumo ndani kwa ndaniHakuna mlokole hapa hivi mnafanya mchezo na ulokole jamani Mungu hataniwi



aise sikuwa najua hilo,,mbona huwa anasema anapenda wasukuma,huwa namsikia mara kwa mara akisema ana bebe wake wa kisukuma hukoHuku ni nyumbani. Ndiko nilikofikia huku nilipoingia JF. Sema tu Shunie alizingua wakati ule. Angenidaka nikiwa mgeni mgeni sasa huvi tungekuwa tunaongea mengine. Naye eti hapendi Wasukuma kama kale kakimbaumbau ketu![]()




kakimbaumbau bhana kuna anaekateka siku hz kanaonekana kwa nadraBaba wawili ujue unanifanya kama katuni wako woiiiii
![]()




hapana shangaz,,eeh hiyo ndio imesound poa shangaz,,woiiiiiiWoiiii halafu inafuatiwa na lile limoto likuuuubwaaa![]()
Hiyo ungeniachia nikahakikisha na kuamua mwenyewe. Mtoto wa Tanga hata bila chura tungezungumza tukayamalizaTatizo wewe unapenda vibonge wenye machura mm sina chura jamani



Kumbe ndio ipo hivyoInasemekana walokole hukulana wao kwa wao mumo kwa mumo ndani kwa ndani![]()
Kumbe we kama MimiSio mlokole ila nampenda sana Mungu wangu
Tatizo wewe unapenda vibonge wenye machura mm sina chura jamani
Wasukuma wanapenda sana totoz nyeupe babe wangu wa kisukuma huyu hapa pasua kichwa Wickaise sikuwa najua hilo,,mbona huwa anasema anapenda wasukuma,huwa namsikia mara kwa mara akisema ana bebe wake wa kisukuma hukokakimbaumbau bhana kuna anaekateka siku hz kanaonekana kwa nadra
Mh we unavyopenda chura vilee hapana sidanganyikiHiyo ungeniachia nikahakikisha na kuamua mwenyewe. Mtoto wa Tanga hata bila chura tungezungumza tukayamaliza![]()
Nilikuwa sijui hilo. Kwa hiyo sasa naweza kumuita shemeji? Ila ajue tu tunakulagaaaaaise sikuwa najua hilo,,mbona huwa anasema anapenda wasukuma,huwa namsikia mara kwa mara akisema ana bebe wake wa kisukuma hukokakimbaumbau bhana kuna anaekateka siku hz kanaonekana kwa nadra



InasemekanaKumbe ndio ipo hivyo
Humuonagi likes uko anavyoyapost na nilishamsoma sana kapuku anapenda wanawake waliojaziaShangaz ya kweli haya?
Kwahiyo umebadili gear angani sio mlokole tenaKumbe we kama Mimi
Mi pia nampenda sana
Naruhusiwa kukuita shemeji?Wasukuma wanapenda sana totoz nyeupe babe wangu wa kisukuma huyu hapa pasua kichwa Wick
Anachama chake mwenyew cha misambwadaHumuonagi likes uko anavyoyapost na nilishamsoma sana kapuku anapenda wanawake waliojazia

