Makapuku Forum

Makapuku Forum

Huku ni nyumbani. Ndiko nilikofikia huku nilipoingia JF. Sema tu Shunie alizingua wakati ule. Angenidaka nikiwa mgeni mgeni sasa huvi tungekuwa tunaongea mengine. Naye eti hapendi Wasukuma kama kale kakimbaumbau ketu
aise sikuwa najua hilo,,mbona huwa anasema anapenda wasukuma,huwa namsikia mara kwa mara akisema ana bebe wake wa kisukuma hukokakimbaumbau bhana kuna anaekateka siku hz kanaonekana kwa nadra
 
aise sikuwa najua hilo,,mbona huwa anasema anapenda wasukuma,huwa namsikia mara kwa mara akisema ana bebe wake wa kisukuma hukokakimbaumbau bhana kuna anaekateka siku hz kanaonekana kwa nadra
Nilikuwa sijui hilo. Kwa hiyo sasa naweza kumuita shemeji? Ila ajue tu tunakulagaaaa

Kakimbaumbau nako naona kamekamatwa sawasawa. Tukakumbuke katika maombi ...
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom