Shimba ya Buyenze
JF-Expert Member
- Dec 22, 2014
- 183,582
- 1,105,404
Kweli bro. Hata akikwazwa namna gani huwezi kumuona akirusha matusi. Sana sana atakutafuta baadaye pembeni anakuuliza kwa upole. Hana kisirani wala gubu kama la vimbaumbau flati skirini...Hivyo mnaweza kuwa mmekosana mwaka 1997 mpaka leo bado kina gubu. Kwa hili kwa kweli Shunie anastahili hongera. Mi mwenyewe nilishamkwaza mara nyingi tu hata bila kujua lakini baadaye sana ndo utamsikia "ile ishu Msukuma sikufurahia" halafu yanaishia hapo na mnaendelea kucheka tena. Sifa bora kabisa hii kwa wanawake wenye misambwanda aisee...Misambwanda hoyeeee !!!Si kama Shunie bro,,ushawahi kuona yupo na neno na mtu??hasira zote zmejikusanya kwenye chura![]()




