Makapuku Forum

Makapuku Forum

d1fbabec-cbd8-4025-b904-d40bfc48d874.jpeg
 
Kuna sister ni cheupe halafu toli tulipiga ng'ombe 75 tena wa kujichagulia. Mwenyewe familia moja hivi ya kishua koko wakataka kunipiga ng'ombe 49 nikachomoa aisee. Ila mwanamke akiwa mweupe, toli halafu ana msambwanda kama Shunie hivi aisee ni hatari. Hata hati za mashamba ya urithi natoa aisee
Msambwanda sina jamani
 
Kuna sister ni cheupe halafu toli tulipiga ng'ombe 75 tena wa kujichagulia. Mwenyewe familia moja hivi ya kishua koko wakataka kunipiga ng'ombe 49 nikachomoa aisee. Ila mwanamke akiwa mweupe, toli halafu ana msambwanda kama Shunie hivi aisee ni hatari. Hata hati za mashamba ya urithi natoa aisee
Nimecheka sana huo mfano ulioutoa hapo juu,,huyu Shunie hzo sifa ulizotaja hapo anazo,chek avatar tu hyo bro,,rangi ya mtume,chura ya kufikia tu hapo
 
Raha sana kuyaangalia mamisambwanda. Hata kama una kihoma na mafua home limsambwanda la waifu likipita unapatapo kaunafuu. Na wanawake wengi wenye mamisambwanda na wanene kidogo huwaga wapole sana kinyume na vimbaumbau...
Si kama Shunie bro,,ushawahi kuona yupo na neno na mtu??hasira zote zmejikusanya kwenye chura
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom