Shimba ya Buyenze
JF-Expert Member
- Dec 22, 2014
- 183,582
- 1,105,403
Msambwanda sina jamaniKuna sister ni cheupe halafu toli tulipiga ng'ombe 75 tena wa kujichagulia. Mwenyewe familia moja hivi ya kishua koko wakataka kunipiga ng'ombe 49 nikachomoa aisee. Ila mwanamke akiwa mweupe, toli halafu ana msambwanda kama Shunie hivi aisee ni hatari. Hata hati za mashamba ya urithi natoa aisee![]()
Mm ni cheupe ndio ila chura sinaKama ni wewe huyo basi ni cheupe. Chura ndo nini bana? Msukuma hapo kwisha habari yake![]()
Nimecheka sana huo mfano ulioutoa hapo juu,,huyu Shunie hzo sifa ulizotaja hapo anazo,chek avatar tu hyo bro,,rangi ya mtume,chura ya kufikia tu hapoKuna sister ni cheupe halafu toli tulipiga ng'ombe 75 tena wa kujichagulia. Mwenyewe familia moja hivi ya kishua koko wakataka kunipiga ng'ombe 49 nikachomoa aisee. Ila mwanamke akiwa mweupe, toli halafu ana msambwanda kama Shunie hivi aisee ni hatari. Hata hati za mashamba ya urithi natoa aisee![]()




Mambo yako hayo
We baba wawili si nawekaga picha zangu hapa chura anatoka wapiNimecheka sana huo mfano ulioutoa hapo juu,,huyu Shunie hzo sifa ulizotaja hapo anazo,chek avatar tu hyo bro,,rangi ya mtume,chura ya kufikia tu hapo![]()
Mm ni cheupe ndio ila chura sina




. Shunie bana....Si ajabu ukikutana naye kafungasha balaa....Kakorofi sana kale. Acha kateseke ili kajifunze. Tena naliomba hilo jamaa lisiwe na huruma likakunje sawasawa kipigo cha mbwa koko mpaka kawe kapole![]()






ukorof wote ule umekwisha,kakija kapole kama nn
Sijafungasha jamani. Shunie bana....Si ajabu ukikutana naye kafungasha balaa....
Chura si huwa umeikalia shangazWe baba wawili si nawekaga picha zangu hapa chura anatoka wapi


,hlf ujue chura haijifich,,hyo avatar tu hapo inaonesha kuna mzigo umeukalia 



Raha sana kuyaangalia mamisambwanda. Hata kama una kihoma na mafua home limsambwanda la waifu likipita unapatapo kaunafuu. Na wanawake wengi wenye mamisambwanda na wanene kidogo huwaga wapole sana kinyume na vimbaumbau...Mambo yako hayo
Nakuja huku kutafuta kondoo waliopotea warudi kundiniHahahah unafikiri ulokole jambo la mchezo, ulokole ukashinde jukwaa la dini na intelligence sio eti nimeokoka ushinde mmu na chit chat
Si kama Shunie bro,,ushawahi kuona yupo na neno na mtu??hasira zote zmejikusanya kwenye churaRaha sana kuyaangalia mamisambwanda. Hata kama una kihoma na mafua home limsambwanda la waifu likipita unapatapo kaunafuu. Na wanawake wengi wenye mamisambwanda na wanene kidogo huwaga wapole sana kinyume na vimbaumbau...



Chura wangu ananitosha mwenyewe na mwili wangu tu sio wa kushangaliwa na watuChura si huwa umeikalia shangaz,hlf ujue chura haijifich,,hyo avatar tu hapo inaonesha kuna mzigo umeukalia
![]()
Woiiiiii sisi vimbaumbau ujumbe huu unatuumizaRaha sana kuyaangalia mamisambwanda. Hata kama una kihoma na mafua home limsambwanda la waifu likipita unapatapo kaunafuu. Na wanawake wengi wenye mamisambwanda na wanene kidogo huwaga wapole sana kinyume na vimbaumbau...
Haya endelea kuwatafutaNakuja huku kutafuta kondoo waliopotea warudi kundini
WoiiiiiChura wangu ananitosha mwenyewe na mwili wangu tu sio wa kushangaliwa na watu




We hutaki?Haya endelea kuwatafuta
Sitaki ndio tena kwa kulazimishwaWe hutaki?