Makapuku Forum

Makapuku Forum

..
d77f8f8c0366162ba0d355efd43828c9.jpg

Hahahahahah
 
Mmmh kumbe upo mamtoni hongera. Huku kwetu koromije ni saa kumi na mbili kasoro sita
Numbisa huendi mbinguni. Wewe sio wakunitoa mate kwa misosi murua kama hiyo. Kiukweli najuta kupitia uzi huu. Umefanya usiku wangu uwe wa kuweweseka kwa kuwaza hayo mapochopocho ilhali mara ya mwisho kula hadi nishasahau.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mmmh kumbe upo mamtoni hongera. Huku kwetu koromije ni saa kumi na mbili kasoro sita
Koromoje hakuwezi kuwa na mapochopocho ya namna hiyo. Hahahaa watakuloga wana kijijiji wenzio. Nipo huku kinyanamba nagema ulanzi na kuokota mikusu na misasati. Karibu sana makande ya mahindi mabichi, maharagwe na viazi ulaya bee

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Acha hizo mkuu pamebadilika sana siku hizi. Full kujiachia masiha mafupi haya. Nimeshakariri ulipo usibadilishe bana
Koromoje hakuwezi kuwa na mapochopocho ya namna hiyo. Hahahaa watakuloga wana kijijiji wenzio. Nipo huku kinyanamba nagema ulanzi na kuokota mikusu na misasati. Karibu sana makande ya mahindi mabichi, maharagwe na viazi ulaya bee

Sent using Jamii Forums mobile app
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom