Makapuku Forum

Makapuku Forum

Huyo ni kaka binamu angu khaaa kaka chige hapana aiseee
Nini tena binamu... mbona kama kauli zako zina tumajungu majungu fulani hivi?! Si ni wewe mwenyewe ndie uliniambia kwamba nina binamu yangu mwingine aitwa Shadeeya, na kwamba eti nikimuona lazima nimpende!

Kumbe ulikuwa unanitega enh?! Lakini tuache masihara binamu, yaani kila nikitaja jina la binamu Shadeeya, moyo unafanya pah... sijui ndo nini!!
 
Mwenzangu kaja na gia kwamba we ni binamu ake hivyo kwa kuwa we ni Dada basi na mie ni binamu yake. Ikabidi nikubali tu huku nikisubiri uje.
Kweli ni binamu yangu bhana, na kwahiyo nawe ni binamu yangu damu damu!! Sema huyu binamu Shunie ana tutabia fulani twa majungu majungu hivi...!! Afu binamu hivi huyu binamu shunie alikuwa anakuletea salamu zangu?!
 
Nini tena binamu... mbona kama kauli zako zina tumajungu majungu fulani hivi?! Si ni wewe mwenyewe ndie uliniambia kwamba nina binamu yangu mwingine aitwa Shadeeya, na kwamba eti nikimuona lazima nimpende!

Kumbe ulikuwa unanitega enh?! Lakini tuache masihara binamu, yaani kila nikitaja jina la binamu Shadeeya, moyo unafanya pah... sijui ndo nini!!
Mm huyo jamaniii
 
Binamu Obe naomba mm nyimbo ya harmonize ya happy birthday

Heko ya kuzaliwa aunt yangu. Hongera sana na mimi kama wengi wengine tunafurahi na wewe sababu wewe ni mtu mzuri na jukwaa hili ni sehemu nzuri kuwepo sababu wewe upo.
 
Heko ya kuzaliwa aunt yangu. Hongera sana na mimi kama wengi wengine tunafurahi na wewe sababu wewe ni mtu mzuri na jukwaa hili ni sehemu nzuri kuwepo sababu wewe upo.
Happy borndate Shunie na hii ni zawadi ya Makapuku kwako wewe ni sehemu ya jukwaa hili. Furahia siku hii

Asante sana binamu yangu kipenzi nakupenda eenh
 
  • Thanks
Reactions: Obe
Happy birthday Shunie
IMG_20181228_145807.jpg
Be blessed. Kama pilau imezidi viungo chips zipo
IMG_20181228_145815.jpg
Pamoja na kwamba nimechelewa ila nimefanikisha kufikisha salamu. Mwaka mpya tuuone pamoja.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom