marybaby
JF-Expert Member
- Apr 11, 2017
- 3,260
- 9,197
Hahahhah binamu bwana...wewe ni aunt yangu wa ukweli! Kwani umeshasikia nna aunt mwingine humu. Yaani uko mmoja tu kama kaniki la mganga
Nimekua adimu km bwana kitwanga baada ya kula nyundoMary naona katekwa kawa adimu mpaka jukwaa la story
Nimerudi mimi
Akupe na zawadi ya kumuitia...usiishie tu kusema sawa, sema asante nimemuita

Huyo nae sijui katekwa na nani anakuja kwa kubeep
WoyooooooNimekua adimu km bwana kitwanga baada ya kula nyundoNimerudi mimi
![]()
Sent using Jamii Forums mobile app


Naruhusiwa kusema nimekumiss to the moon and back??Na mm nmemmiss marybaby

miss you too hun
Naruhusiwa kusema nimekumiss to the moon and back??miss you too hun
Shunie aunt utatumaliza na je wajua
Sent using Jamii Forums mobile app







Shkamoo, (goti mpk chini)...marhaba binamu, ujue ni kama mawazo yetu yamekutana pamoja. Uko aje wewe


Unaenda wapi eti dadaNapita tuu jamani
@Bonny