Makapuku Forum

Makapuku Forum

....wadau ngoja niwatumikie wahindi hapa maana nna siku chache sana za kuwatumikia, nikilipwa tu hela zangu naenda kuwatukania hadi chakula chao cha pilipili.
Baniani mbaya....

ABJ hebu njoo mtu wangu mwenyewe, nimekumiss japo leo si alhamis na sidhani kama una umbo la kimiss
Hahaha binamu bhna
 
We siwezi kukufanyia tenguzi utanitia aibu na kutaka kwako chura kwa kila mtu
20181212_143049.gif
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom