marybaby
JF-Expert Member
- Apr 11, 2017
- 3,260
- 9,197


Asante sana Mungu akutunze uendelee kutuletea mijinyimbo.

Nn shida,?Mimi siko vizuri iseee
Binamu hebu nipe dondoo za hapa na pale,unahisi mimi ni nani atanifaa?![]()

ningendako msaidieni Binam wenu ktk dondoooHabari yako TumosaNi poa sana
Welcome back mdau wa ukweli.
Hata mimi ndiooHata wewe tetra
Kf ni mtakuja...
Asante sana Mungu akutunze uendelee kutuletea mijinyimbo.
Pole kwa kukuchanganya na Avatar,naona uliizoea kijani
Yes.nilidedicate kwake Lyon Lee
Sema hapo mwisho umeharibu![]()
Njema za wewe Prince, ?
...sawa sawa, tangu umeondoka kuna mengi tu yametokea, mama mchungaji BH anakusalimia
PoleSiko poa
Hatujambo shkamoo mjomba.Hamjambo humu?
Holiday inaendeleaje ?
AiseeNafurahi umeupenda na nilijua tu umededicate kwa huyu anko wangu kocha wa lombalomba fc, hii ni timu iko Mbezi yeye ndo mfadhiri, kocha, kaputeni na wakati mwingine huwa nakuwa ni refa au shabiki
anaplay kotekote.
