Makapuku Forum

Makapuku Forum

Screenshot_2018-12-12 Twitter(1).png
 
Yaani Meko anavyoongea utadhani anajua kila kitu. Unaweza kudhani ni bonge la genius kumbe hata thesis yake alifanya ku-plagiarize.

Siisahau "Saddam Hussein alikuwa rais wa Kuwait"
 
Unaposikia kauli kwamba, Wamachinga 670,000 watapatiwa vitambulisho vya BURE vitakavyouzwa sh 20,000 kila kimoja. Unabaki tu kucheka hasa ukiwaona wale viumbe wanaoshangiliaga kila sauti za watawala.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom