Lee
JF-Expert Member
- Jul 31, 2013
- 44,001
- 150,526
Ndo nakuitaaa
Ungenimiss ungeniita
Ungenimiss ungeniita
Hahhahah akisema ndio hakuna shida atakuwa tu mchepuko
Kuhusu kipigo mama kuna kipigo nilipigwa na Mr sitakisahau mpaka naingia kaburini na sijawahi tena kupigwa kile kipigoOoh sikuona ngoja nicheck
Sio vzuriiiii
Wewe mbona hutulii acha utafutiwe mchepuko tu
Ukiendelea kung'ang'ania naweka picha zako kumi hapa zinazoonyesha umbo lako lote kwa sababu mimi ni kachero mbobezi wa JF na ndiyo maana nawajua wote waliogeuka kuwa walevi wa kutupwa kwa sababu ya tamuuuuuuuuuu!!Unabisha au chura kama yangu rangi kama yangu yaani nilijua mm



Ukiendelea kung'ang'ania naweka picha zako kumi hapa zinazoonyesha umbo lako lote kwa sababu mimi ni kachero mbobezi wa JF na ndiyo maana nawajua wote waliogeuka kuwa walevi wa kutupwa kwa sababu ya tamuuuuuuuuuu!!![]()
Natuliaa sana
Shangazi mbona sikuzungumzii wewe!Weka hizo picha hivi unavyosema ulevi unaamaanisha kwahiyo mtu asinywe beer akinywa anaonekana mlevi napenda sana beer na sina stress kabisa maisha yangu mazuri sana



Utajua mwenyewe yaan napenda beer napenda heineken sanaaa nakunywa nikijisikia sina stress mm naweza kuwalisha makapuku wote mwaka mzimaShangazi mbona sikuzungumzii wewe!![]()
Utajua mwenyewe yaan napenda beer napenda heineken sanaaa nakunywa nikijisikia sina stress mm naweza kuwalisha makapuku wote mwaka mzima



Tell meNdo nakuitaaa
Mmh pole aiseeKuhusu kipigo mama kuna kipigo nilipigwa na Mr sitakisahau mpaka naingia kaburini na sijawahi tena kupigwa kile kipigo
Mmh pole aisee
Ngoja niutafuteNikawakumbuka tu
Ngoja niutafute
Samahani katibu mi mfanyakazi nlikuwa likizo sorry kwa kujibu mengine bila kupitia kwangu kikubwa tunaboresha ZaidUzi utazungushwa kila siku
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()



