Pambana wewe mwanaume
Shangazi nakuletea bia unywe hadi umsahau mjomba!





beeer niletee ninywe Toto Ila mjomba ako siwezi msahau jamani nampenda mm anatembea na roho yangu tu ebu wahi kurudi we baba jamaniHahahahh A na B ni sawa binamu
Maisha magumu mtaani kila siku
Eeenh...nilikumiss pia na kama unavyojua kawaida yangu, nilikumiss sana tangu alhamis
Usimtaje ABJ kwa sauti kubwa, mama yenu nimemuona anapitapita kwa chat
Hahahahha jirani wewe,,inamaana hii hukuwa umeiona kweli??Hahahahah Siyo masihara jirani wewe, nani atakutengua sasa akati me niko mwenyewe
Kwahiyo aloomba wimbo ndo jiwe?
Hahahahah binamu nimecheka sana asante sana jamani majibu mtatoa wenyewe tu mm nimeomba nyimbo tu
...unakaa mtaa gani?
Nipo bongo mkuu tena jiji la bashite napambana na hali yangu tu nimekubaliana na kila kituMimi sio mwanajeshi kama matajiri zetu hawana hela utawaka kaba kigezo kupambana au hauoko bongoo nini @Shunie
Kumbe
Hahahaha sawa sawa shangazi,,acha leo tusikilize upako,,upako umeanza mapema weekend hii,,jpili tutasikiliza nn sasaBaba wawili wewe huyo
Jamaniii eeenh majibu mtatoa wenyewe mm naburudika na nyimbo tu,,,,ha ahhhaa, binamu mimi sijauliza swali, sasa unapojibu lawama zinakuja kwangu. Jiwe hajaribiwi
Nipo bongo mkuu tena jiji la bashite napambana na hali yangu tu nimekubaliana na kila kitu
Hahahaha kweli aisee,,hakuna wa kumjarbu jiwe,,,,ha ahhhaa, binamu mimi sijauliza swali, sasa unapojibu lawama zinakuja kwangu. Jiwe hajaribiwi
Sitaki kuamini kama ni wewe baba wawili ninayekupenda ndio unanisnitch khaaaa
Hahahahh.... Ila jirani ebu nitoe ushamba mwenzio tena ninong'oneze ikiwezekana, jiwe ndo nani?![]()
Mniwacheeee jamani na nyimbo yangu...asante kushukuru, nimeona Ninge amejibu utasema mimi nimeuliza swali. Wasinichongee tafadhari