ABJ
JF-Expert Member
- Aug 29, 2017
- 4,922
- 13,817
mnanifurahisha na babe wako mm


eti nae ndo kaona kanipa jina la kibintimnanifurahisha na babe wako mm


eti nae ndo kaona kanipa jina la kibintiNampendaga jamal mm basi tu mambo yake
Kwa kuimbaa linajuaa sema bhasii tu
Mnaongelea nini??Achana na kuimba kwanza vile alivyo daaah
Hahahahaha mm huyo wa katikati
HahahahahHahahahah mfyuu sitaki mimi huo mjina
Aiseee naanzaje kwa mfano urembo wangu anaujua ninayelala nae nyie mtaona picha za migongo tuNitumie picha pm nidhibitishe madai yako
Hatujambo shikamoo mwalimuHamjambo?
We mpe moyo tu vizuri ananijuaJirani wee hakuna wa kukutengua banaa
Mnaongelea nini??
Mnasema tu,,mara mnampenda,mara tatzo mambo yake??ana mambo gani kwani na ni nani






Nimecheka baba wawili yaani umeuliza umekuwa kama binamu jamal wa empire bwanaHahahahahaWe mpe moyo tu vizuri ananijua
Hahahah duh we umekuwa mtenguaji skuhiziWe mpe moyo tu vizuri ananijua
Aiseee naanzaje kwa mfano urembo wangu anaujua ninayelala nae nyie mtaona picha za migongo tu
Wewe endelea kumjaza tu mwenzio baba wawili ananijua vizuri tuHahahah duh we umekuwa mtenguaji skuhizi
Hahahahaaha jiranibww,,usiombe ukutane naJirani wee hakuna wa kukutengua banaa

Asante kwa kujua mkuu sio bwana ni mumeKwani unayelalanae sio MTU kama mimi sawa tumejua unabwana![]()