Lee
JF-Expert Member
- Jul 31, 2013
- 44,001
- 150,526
Nimekomaaaaaaa'aaaaaaaaaaaa
Usinitegemee kwenye hayo mambo kabisa mwaribie mwenzako namtoa mary
Usinitegemee kwenye hayo mambo kabisa mwaribie mwenzako namtoa mary
Salama kabsa jirani,,binamu yangu anakuficha sana ,,,au ndio mnatumia mapesa ya koroshow kimya kimya
Wouzeeerr wouzeeerrrAnko hapa ndio nmefika,,nmefunga vioo,,mwsho wa reli hapa!!




kwingine ulikuwa unajifunza tu uzoefu baba wawili huniangushi mm
Siwezi kukuangusha baba wawili amwage mboga tumwage ugaliHahahahha kwenye hyo sekta nakuamini shangaz,,huniangush
Wengine wakifanya uchochezi hawaguswi ila mimi sasa!!Shangazi unanionea sana ila Mungu atatenda haki siku moja!!Shida yako aachwe awe single akiachwa jua na we mary anakuacha
Yule alikuwa wa binamu,,mm nilikuwa naagizwa tu kupeleka koroshow pia nilikuwa na msaidia binamu kiaina,,ndugu kusaidiana mjomba
Mm nimefanyaje tena arch hivi upoooohata wewe unanifanyia hivi?? kweli mchawi ndugu
...umeanza kufanya ramli chonganishi. Kwa karibu mwaka mzima sasa nasema hela hatujalipwa, korosho wananunua wanajeshi, wametuambia tusubiri tutalipwa. Mimi ni nani nikadai kwa nguvu. Jamani hebu muwe na huruma kidogo basi






Nimecheka sanaaa yaani sana mpaka machoziSitaaaaaaakiiiiiii kunguruuuu majiii wewe
Wewe kiboko uchochezi wako yaan we hapana jamaniWengine wakifanya uchochezi hawaguswi ila mimi sasa!!Shangazi unanionea sana ila Mungu atatenda haki siku moja!!
Unataka kumanisha nin kwa mfanoWengine wakifanya uchochezi hawaguswi ila mimi sasa!!Shangazi unanionea sana ila Mungu atatenda haki siku moja!!
Ramli chonganishi!Una nia mbaya na mzee wa chura
Mzee wa chura kaingiaje tena hapa mkuu?!!!
Nimerudiiii wapiiiii ....binamu salama za husna umezionaa ?...ha hahahhaa, utakonda moyo bure. Vumilia tu kwa sasa.
Umesharudi anko?
Ramli chonganishi!Mzee wa chura kaingiaje tena hapa mkuu?!!!
Hakuna mchochezi mkubwa kwenye serekali hii kama wewe ila jiwe anakuangalia tu hata hafanyi kitu!!Unataka kumanisha nin kwa mfano
Mwishowe utaniambiaaa mm ndo mwenye jiji ....Hakuna mchochezi mkubwa kwenye serekali hii kama wewe ila jiwe anakuangalia tu hata hafanyi kitu!!
Hivi mkuu una habari kuwa jiwe alishanikabidi chura siku nyingi sana na sijawahi kutenguliwa wala huwa sitenguliwi mkuu?au leo unajifanya kuwa hujui kuhusu uteuzi wangu??!Wewe mkuu nimechungulia note book ya jiwe haupoo kabisa



Ohhh!!Bashite mwenyewe ndiyo wewe hapo ndiyo maana huwa huguswi!!Mwishowe utaniambiaaa mm ndo mwenye jiji ....
Sijafanyaa uchocheziiii wowote


