NguoYaSikuKuu
JF-Expert Member
- Jul 3, 2013
- 693
- 1,058
Simba SC imeiangushia dozi nene ya kipigo cha mabao 4-0 timu ya Mbabane Swallows ya eSwatin katika mchezo wa marudiano wa Ligi ya Mabingwa Afrika uliochezwa kwenye Dimba la Mavuso nchini humo!
Najua hatoweza kujibu 😀😀😀😀Ukijibiwa uniite
Hahahahaha anko,,haya yote si nmerithi kutoka kwenu,,ila hata nusu yenu sijafika bado
Asantee kwa infoSimba SC imeiangushia dozi nene ya kipigo cha mabao 4-0 timu ya Mbabane Swallows ya eSwatin katika mchezo wa marudiano wa Ligi ya Mabingwa Afrika uliochezwa kwenye Dimba la Mavuso nchini humo!
Wouzeeerrrasiye na babe abebe geisha
Njema sanaaHabariiii nduguu
Anko hapa ndio nmefika,,nmefunga vioo,,mwsho wa reli hapa!!Mjombaaa mjombaaa kwa hiyoooo huyu ndo mpya umemdanganyaa kama kawaida yakoo ?
Hahahahha kwenye hyo sekta nakuamini shangaz,,huniangushShida yako aachwe awe single akiachwa jua na we mary anakuacha
Kwaniii mama kicheicheiiii ulimwambiajeee ...mpaka ukajifanya namba yako ya zantel ambayo hawaijuii etii akaee nae kama hakuaminiiiAnko hapa ndio nmefika,,nmefunga vioo,,mwsho wa reli hapa!!
Ebu acha mambo zako bwanaKumbee ulikuwaa hujuiiii...na wew ukamteua madam wa watu ...ameingizwaaa chakaa
Lakin ata ukiachikaaa si jiwe ni ndugu yetu
Usinitegemee kwenye hayo mambo kabisa mwaribie mwenzako namtoa marySasa mary kaingiajeee ujuee ww ndo nakutegemeaaa...
Ukipata jibu nitag mkuu!Hiv jiwe ndio nan? Namsikia sana huko ulimwenguni



Wabebe geisha baba wawiliNdio maana yake shangazi,![]()
Mnyamaaa wouzeeerrrSimba SC imeiangushia dozi nene ya kipigo cha mabao 4-0 timu ya Mbabane Swallows ya eSwatin katika mchezo wa marudiano wa Ligi ya Mabingwa Afrika uliochezwa kwenye Dimba la Mavuso nchini humo!





Yule alikuwa wa binamu,,mm nilikuwa naagizwa tu kupeleka koroshow pia nilikuwa na msaidia binamu kiaina,,ndugu kusaidiana mjombaKwa hiyo yulee kimwana wa kona palee ndo umemdanganyaa umeendaa ntwala kikaziiii...
Mungu anakuonaaa ujueeeee
hata wewe unanifanyia hivi?? kweli mchawi nduguWouzeeerrrasiye na babe abebe geisha
Abebe geisha tu hakuna namnaUna nia mbaya na mzee wa chura