Nko serious mkuu si utani uje hapa tunakutana makapuku lengo ni kumpata mwenza
jiwe ndo nani? teuzi ipi tena?Jiwe anataka akufanyie uteuzi!![]()
Nipo anko, najitahidi kupambana na wanaonifitinisha na ABJ, ila cha kushangaza wewe ndugu yangu uko kimya kama huoni vile, au unawaunga mkono? Unapenda niachike
....kuna mambo ya kufanywa na baba na mambo ya kufanywa na mpenzi, ni majukumu tu, baba/mzazi/mlezi anunue simu na mpezi akulombe tu na kukuliwaza
Simba hii inakufanyaaa ulaleee unonooo ukinogeshwaa na mjombaa
Mimi ni toto tundu ila nina akili ya kumuombea babu yangu mtu chake wakati huu ambao ni mgumu kwake!![]()
Khaaaa hilo lengo ni lako wewe marybaby ukuje uku watu wapo serious kumbe ndio yale ya mjomba ako yasije yakakutokea ukanuniwa kama shangazi yako ukujeee
Asante sana mkuu tena najihis nipo kwenye sitting room yeny full a.c. 😀😀makapuku campKaribu Sana jisikie upo nyumbani
Asante sana shangaz,,kwa kweli sie wazima wa afya ,,,karbu weeekend ututembelee ila vile vinywaj vyako pendwa utatusamehe hatutakuwa navyo.Mm mzima baba wawili jamani hofu kwako na mkeo nafurahi kuwaona
Mimi mzima kabsa,,pole na majukum loveWaaleyqum salaam, alhamdulillah bado napumua hofu kwako
Mimi mzima kabsa,,pole na majukum love
Kuna wake na wanaumee wa watu ...usiseme na ww ni mtu tunajuaaaAsante sana mkuu tena najihis nipo kwenye sitting room yeny full a.c.makapuku camp
Wepesi unakuja na mh BM tuwe na subiraKuna wake na wanaumee wa watu ...usiseme na ww ni mtu tunajuaaa
Jiwe akufanyiee wepesiiii
Asante sana love,,nmefurahia kusikia u bukheri wa afya,,,siku yako ilikuwaje?Kuona mwandiko tuhapa nimefarijika na kujiona mzima kabisa, asante hunito pole na wewe love ake
Mungu anasaidia inaishia hiviAsante sana love,,nmefurahia kusikia u bukheri wa afya,,,siku yako ilikuwaje?
Kwema jirani za weweHahahahah
Mambo vp jirani??kwema??
...mia ya nini sasa, wewe sio wa mia wala elfu au makumi elfu, wewe ni wa mamilioni na bilioni na hizi zinakuja indirect na unazifaidi sana na utaendelea kuzifaidi pale reli ya SGR itakapoanza


Hapo kwenye in-direct ndo sijaelewaMwaaa...mmmwaaa....na nikitoa bila kuombwa si watu wataniita buzi, achana nao darling hawa watu wachonganishi
