Makapuku Forum

Makapuku Forum

Si mnajua mdau wenu niko kwa road huku South natoka Ntwara naenda Masasi, sasa nimewaza hapa maana nimeona ajali. Nikakumbuka asilimia 22 ya ajali husababishwa na kilevi (DUI) sasa hizi asilimia 78 si husababishwa na wanywa jwisi, soda, fursana, vimto, anjari.
Safari inaendelea, tumevuka hapa Mpowola tuaisaka Njenga, halafu Ndanda kisha nanyooka to Masasi kule aliozaliwa Che BWM, kama kuna mdau yuko Masasi nitakuwa Mkomaindo jioni nitakuwa bar moja maeneo ya sokoni
Jitahidi usinywe maji wala juisi njiani kuepuka ajali
 
Shunie wewe ndo unaitwa Jiwe humu?

Hahahaaa nauliza kwa wema tu maana nasoma soma lakini sielewi kinachoendelea..
Hahhahahah
Ngabu yaani humu natungwa kila aina ya jina yaani wameshanifanya mm jalala lao

Ndio mm jiwe eti mwanzo nilikuwa sielewi kabisa kuja kujua mm ndio jiwe nimebaki nacheka tu
 
Sijambo mimi habari ya wewe.?mama hajambo.? Anko Binam wako ana taarifa hiyo.? (kwakua bado tupo ktk sayari nyingine)

H ahahhaha, mama hajambo sana, anawasalimia wote na kukupongeza wewe kwa kunikataa vinginevyo hizi zawadi anazopata kila siku asingeziona. Anakupa pole Sana.

Anko hajui na hiyo sayari mliyoko andaa kidumu, msimu wa sikukuu anko huwa kama karumekenge aliyekataa kwenda shule, usije kutulilia humu
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom