Makapuku Forum

Makapuku Forum

ID yangu ili hackiwa Shualina.....kweli tena naapia!!
Hakunaa Ngabu cha kuhackiwa wala nn nimekukuta kwenye uzi wa kasie huyo mzee unamtajia mm kaninunia ujue eti bada ya kumtengua sasa sijui alikuwa serious anajua mm mpenzi wake au vipi woiiii kuna mambo yanachekesha mm najua utani kumbe watu wapo serious mambo ya kukulana
 
Hakunaa Ngabu cha kuhackiwa wala nn nimekukuta kwenye uzi wa kasie huyo mzee unamtajia mm kaninunia ujue eti bada ya kumtengua sasa sijui alikuwa serious anajua mm mpenzi wake au vipi woiiii kuna mambo yanachekesha mm najua utani kumbe watu wapo serious mambo ya kukulana

Huh?? What??

Kakasirika nilivyomtania au nawe unanitania tu hapa?

Hahahaaa umenichekesha ujue.

Oh well....ngoja niende Mibbs nikale kitimoto mie!
 
Kitimoto ya Mibbs si ya sayari hii!

Ahsante mama Nanii....
Mm sio mpenzi wa kitimoto kabisa ila ni
majirani zangu hapo

Ngabu sitakii utani wakooo huyo mtu wako nimeshamtengua sitaki matani nae kumbe yupoo serious acha nimtafute mnyantuzu wangu Wick sijui katekwa na naniiii niliyezoea kutaniana nae

Kununa nuna hovyo napo ni umama akili za Heineken jamaniii tusameheaneni
 
Mm sio mpenzi wa kitimoto kabisa ila ni
majirani zangu hapo

Ngabu sitakii utani wakooo huyo mtu wako nimeshamtengua sitaki matani nae kumbe yupoo serious acha nimtafute mnyantuzu wangu Wick sijui katekwa na naniiii niliyezoea kutaniana nae

Kununa nuna hovyo napo ni umama akili za Heineken jamaniii tusameheaneni

Sawa Shualina.

Sikujua mambo yalifikia hatua hiyo.

Peace ✌🏿
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom