Madame S
JF-Expert Member
- Mar 4, 2015
- 17,177
- 34,444
haya mama jina lakegumu gumuSio utajitahidi tu umzoee tu si unajua humu mm ndio nyumbani lakini
haya mama jina lakegumu gumuSio utajitahidi tu umzoee tu si unajua humu mm ndio nyumbani lakini
Mbona emoj binamu sijaziona na ile chandarua yako inaendeleaje eti
haya mama jina lakegumu gumu
......ile chandarua iko poa sana, yaani inanukia upya tu, kuna raha ya kununua kitu kipya sio unaenda kupokea neti hazina price tag bali linembo likuuuuubwa la chandarua hiki ni msaada toka watu wa Marekani. Yaani unaingia kitandani utasema unaingia kwenye kondomu zenye vipele
Hahhahaha ningendako baba wawili ukuje uku kwa shombeshombe baby huyu binti anapenda kupendwaaa tu anapenda kudekezwa hapendi uwe na mambo mengi sijui wanawake wengine hapendi
Uteuzi unaendelea huyo mbabe nimekuleteaHeh!!
Shangaz huyu nani tena??uteuzi bado unaendelea
Hahahhha najua vitu unavyopenda hupendi vuruguMhh nimeona aibu haya mambo sjayazoea hahahaa umeongea vyote had sina la kusema
ngoja nijitahidi kumzoea lakini why makapuku??? Kwengine hujapata
Hahhahaha ningendako baba wawili ukuje uku kwa shombeshombe baby huyu binti anapenda kupendwaaa tu anapenda kudekezwa hapendi uwe na mambo mengi sijui wanawake wengine hapendi
Binamu upoje lakini au sababu we umeachwa ebu muache mwenzio basi jamani.....hiki kigezo nadhani ndugu yangu ningendako kashafeli, labda awaache hawa watatu aliozaanao.
Ule uteuz wa mwanzo umetengua juu kwa juuNdio huyu Bebe wako baba wawili bae huyo kazi kwako
Nmeziona ndugu yangu,,,nilishukuruHahaha
Pongezi za uteuzi nimekupa lkn
Ah,,sikujua binamu,,nilijia mpunga wa koroshow upo wa kutosha..ha hahahah, watu wanazusha sana, sina tatizo kabisa, hakuna ubaya kutumia pesa yako maana utasaidia serikali kupata kodi, watu kulipwa mishahara na wafanyabiashara kutajirika
Nmeziona ndugu yangu,,,nilishukuru
Acha nishukuru kwa mara nyingine tena
Asalaym alyekum bibiehaya mama jina lakegumu gumu
HahahahahaHahhahaha ningendako baba wawili ukuje uku kwa shombeshombe baby huyu binti anapenda kupendwaaa tu anapenda kudekezwa hapendi uwe na mambo mengi sijui wanawake wengine hapendi
HahahahMhh nimeona aibu haya mambo sjayazoea hahahaa umeongea vyote had sina la kusema
Binamu,,,kivip tena nifeli?.....hiki kigezo nadhani ndugu yangu ningendako kashafeli, labda awaache hawa watatu aliozaanao.
Hahahahaha binamu anataka kuharibu mamboBinamu upoje lakini au sababu we umeachwa ebu muache mwenzio basi jamani