Ndio nilikuwa sijijui mm![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
hata ww ulikuwa hujijui
HahahahaMjomba usitukatili sie kwa kosa la shangazi![]()
Mjomba ana maumivu lknNmemwita akueleze huyo
HahahahaHivi mjomba akee kwani alikuwa serious au mm najua matani jamani sio kwa povu alilotoa juu
Hawezi ameshasema anampenda kwa kila haliAnaweza mwaga manyanga na yy
Huu uzzz siuelewagi,,;!!!
Mambo ya mzee wa chura![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
hata ww ulikuwa hujijui
HahhahahhahaSawa sawa shangaz!!aje nimuone
Yupo kama alivyokuwa marybaby kabla hajapelekwa?View attachment 950737
MgeniSi awatafute mods
Hahahaha, nimegundua wewe hupendi sana utani,hasa wa aina hiiKhaaaa kwani we mzee jamanii humu si matani tu au ulikuwa serious mm sijui jamaniiii woiiiii
Hahahaha vijana mnanishinda humu mchumba wa kukulana aumsebule=mchumba
Hivi we mzee kwani ulikuwa seriousHahahaha
Nitakua mnyonge ,Rafiki
Nikiwa tungi nitakua nakuja kusalimia
Sawa sawa shangaz!!aje nimuone
Yupo kama alivyokuwa marybaby kabla hajapelekwa?View attachment 950737



fala sn ningendako daah. Wallah Mungu anakuona ati..
MhVyote vizuri kwa shangazi mwenyewe![]()