Lee
JF-Expert Member
- Jul 31, 2013
- 44,001
- 150,526
Haunaaa churaaa
Nna mapembe
Nna mapembe
Sasa itokeee wakubishieee kama hawazabwaa makofiiiii mpaka wakomeeeee....![]()
Ni njema kabisa yaniNko poa za ww
Yap bt nilikwambiaa ...Kumbe umefika leo pole na safari
Shidaa hipo ukitajwaaa mtwara nani atakusafishaa ?...sasa si umeona jina lake lilivyo! Akiwa sivyo basi kuna shigda mahali
Hivi shida kumtisha mjomba wa watu anikimbie eenhNgojaaa akuzabeee makofiii make cha ukorofiiii namjuaaa
...hela ninazo, sema sijalipwa hadi uhakiki umalizike, kwa hiyo wale wakulima ambao wanalima bila kuwa na cheti cha fomu foo watasumbuka sana, mimi ninacho cha mjomba wangu









Eiiish hela zangu ili iweje tenaNi njema umeingiza hela ngapi leo
Hajatoa bado sababu kibaovp amekupatia hela??binamu yetu bahili
Ila kwa ajili ya nn baba wawiliHela za koroshow sio kwa ajiri ya sepanga shangazi,,
WouzeeeerrNami kwa kitanzania ni miongoni mwa mamilionea
Mh shangaz huyu ni mkali jamaniEiiish hela zangu ili iweje tena
Sawa Mamii ,enjoy
Poleni mliosomaKarudia rudia sijui kanywa nini
Hahahhaha ebu ukoSasa itokeee wakubishieee kama hawazabwaa makofiiiii mpaka wakomeeeee....![]()
Asante jamaniSawa Mamii ,enjoy
Khaaaaa kila siku navaa hilo tu View attachment 944287