Shunie
JF-Expert Member
- Aug 14, 2016
- 157,081
- 464,013
HahahhahaHahahaha ,tunatekana Mkuu
HahahhahaHahahaha ,tunatekana Mkuu
Nna mapembeAnakuogopaaa
Nami kwa kitanzania ni miongoni mwa mamilionea
Kumbe umefika leo pole na safariSema nimechokaa nimefikaa saa 2 na roboo...leo niachee tu au waonajeee
Ukiona hivi ujue shangazi bia zimeshafika mahala pake!![]()























unavyomjua shangazi yako sasa
Ndio maneno yote yaleKasema ametumiss
..wewe hulali na hela, utakuwaje milionea, labda wewe ni lakionea

cash ndio silali nayo ila mali zipo
Jamaniii na alizeti basiafu zile kokoto unazopenda Jumapili ntafute
Una uhakikaa ?
Mm nakunywa beer mkuuAfadhali ukute ni bia kuliko wine
Karudia rudia sijui kanywa niniNdio maneno yote yale
Hahhahah nipo na rafiki zangu mmNamuoneaaa huruma uliyenae make mda si mrefuu makofii atayachezeaa ya kutoshaaa
Afadhali maana wine zina madharaMm nakunywa beer mkuu
Nipo huku mitaa ya kati kwenye live bandUko wapi Mamii yangu
Sasa itokeee wakubishieee kama hawazabwaa makofiiiii mpaka wakomeeeee....Hahhahah nipo na rafiki zangu mm




Kumbe huwa mnamjaza eeenh we na kaka ako baba wawiliNa ubahili wake umemsahau
Yameota liniNna mapembe
Hahhahahahha...karibu jukwaani, wananiita Obe, una namba ya simu au email? Anko wangu yuko kwenye kitengo cha sensa
Nipo huku mitaa ya kati kwenye live band