Makapuku Forum

Makapuku Forum

Anataka namba ya wema hajakwambia kwan nackia amataka kung'arisha nyota

.....binamu niliambiwa na mganga kwa kuwa natarajia kupata hela za mkupuo basi nimtafute Wema ili azibariki kabla sijaanza kuzitumia na baby Mary wangu.

Wala simtafuti kwa nia mbaya, nataka tu niwe kama Watanzania wengine wenye bahati maana Jokate ndo hivyo ndo kumpata labda nitangaze kujitolea kubeba zege huko kisarawe sijui mkuranga
 
Nmekuvuliaa kofia binamu ....all de best ila si unajua ukifanikisha ndo nimetusua na mm

...wewe utasubiri sana maana kwa Jokate ulinibania japo ile clip akitwerk, ukaamua kula mwenyewe, shukuru jiwe alikuwa na majukumu ya kimwili sehemu nyingine.

Vipi nasikia Mwantumu alikufuata ukamdhamini Amber Ltty maana nilimsikia akisema eti usitupe mbachao kwa msala upitao
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom