Makapuku Forum

Makapuku Forum

Tumosa na ningendako nawatakia maandalizi mazuri ya wikend. Ndugu yenu mimi sijambo na ninafuatlia kwa umakini kozi ya kiingilishi mliyonilipia, ila ticheri kasema twisheni itanisaidia zaidi, gharama ni elfu 41 mia tano tu, mnipe mapema leo maana wikend imekaribia
tusitafutane ubaya binamu
Hiyo utapewa jumatatu,leo pambana na hali yako
 
Jamani wanaume mtanisamehe kwa hili.
Swali hili linawalenga dada, wapenzi,wake, na kina mama wetu Je nini kinaweza kukufanya umchinje mtu unayekiri kumpenda kwa dhati , umkatekate vipande, uchanganye maiti yake na kitunguu kwenye sufuria yako na tui la nazi umpike na ule kitoweo chake kwa wali ? Taarifa kuwa
mwanamke mmoja raia wa Morocco aliua mpenzi wake na kumpika imeshtua ulimwengu wote. View attachment 943571
Yaani ale nyama ya mtu hadi iishe peke yake?
 
...wengine ni watu, ila hawa wamenilia inglishikozi ili niwe namwambia marybaby maneno matamu matamu ya kiinglishi maana maneno ya kiswahili yanaukakasi sana kimalavidavi.

Ile namba ya Wena Sepenga niliitaka maana nasikia anangekewa kwa mtu aliyepata hela nyingi za mkupuo (tafadhari babay Mary asisikie hizi habari, wewe ni ndugu yangu wa ukweli)
Hv hyo namba hujaacha kuitafuta binamu
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom