marybaby
JF-Expert Member
- Apr 11, 2017
- 3,260
- 9,197
Nashkuru nimeamshwa salama.Umeamshwaaa salama ?
Vp ww Shangazi na majirani. ?
Nashkuru nimeamshwa salama.Umeamshwaaa salama ?
Habari ya uzima mama.,
Njema kabisaHabari ya uzima mama.,
Nashkuru nimeamshwa salama.
Vp ww Shangazi na majirani. ?
Nashkuru nimeamshwa salama.
Vp ww Shangazi na majirani. ?
Familia njema nashukuru.binam wenu ndio anaamka eti.,!Njema kabisa
Vp familia
Shukran sn na iwe njema kwako pia.....nakutakia easy furahiday mrembo, nimekumiss sana japo leo sio alhamis na sina hakika kama una umbo la kimiss


Wewe pia upo ktk urithi wa Anko wako....ungesema mashangazi, maana anko wangu yeye anapenda wingi kuliko umoja
Tumosa na ningendako nawatakia maandalizi mazuri ya wikend. Ndugu yenu mimi sijambo na ninafuatlia kwa umakini kozi ya kiingilishi mliyonilipia, ila ticheri kasema twisheni itanisaidia zaidi, gharama ni elfu 41 mia tano tu, mnipe mapema leo maana wikend imekaribia



we utumbuliwe sio kwa maelezo hayo