Atuwekee na picha basiHua anapiga magoti. .
Sema kweli jamaniIla ya kwetu yamezidi, ndio maana zimejificha na twatakiwa kuzilinda
@Tumosa ombi la Anti litekelezweAtuwekee na picha basi
Hahahahahahah...ni balaa yaani nimeamka kukojowa ndo nakutana na Je Wajua! ha hahahahahah
Umeamka salama anko. Happy Furahiday
Kwahiyo binamu umewaona tumosa na kaka akee baba wawili tu sisi wengine sio watu humu eenhTumosa na ningendako nawatakia maandalizi mazuri ya wikend. Ndugu yenu mimi sijambo na ninafuatlia kwa umakini kozi ya kiingilishi mliyonilipia, ila ticheri kasema twisheni itanisaidia zaidi, gharama ni elfu 41 mia tano tu, mnipe mapema leo maana wikend imekaribia
Shukran sn na iwe njema kwako pia.
Alhamisi ni nini eti.? Alafu jana nimekuita wee ukajifanya husikii
Alafu kuhusu umbo Mchina amenijazia chura mpk amenielemea






Shukran sn na iwe njema kwako pia.
Alhamisi ni nini eti.? Alafu jana nimekuita wee ukajifanya husikii
Alafu kuhusu umbo Mchina amenijazia chura mpk amenielemea
Ethiopia kutam jmn,Eti mpinzani kafanyaje.?


Wewe pia upo ktk urithi wa Anko wako.
Alafu niliomba bakora.
Familia njema nashukuru.binam wenu ndio anaamka eti.,!
Mh.huishiwi kujitetea....niwie radhi, uliponiita nilibanwa na hamu/haja za kimwili nikshindwa kuandika ikabidi nikutumie tu wimbo kimoyomoyo, ila nimegundua kuwa huwa hauniwazi, ingekuwa ndiyo basi dedication yangu ya moyoni ungeipata


Ni hoi aisee
Wakazi...imechezwa na nani hii nyimbo?
...ndo naamka, si umeona mvua hii iliyodondoka usiku, yaani imewatisha hadi kunguni wamejificha maana si kwa radi hizi


kwetu hakuna mvua aisee