Obe
Platinum Member
- Dec 31, 2007
- 10,282
- 35,652
Si ana yule mganga hua anajitapa nae,?hawezi tusaidia akatoa .?
...yule ni mganga wa jadi, anasaidia kutegua tego, kutoa limbwata, kufukuza wachawi na kuroga unaowachukia hasa bosi wako na pia anarejesha sehemu nyeti kuwa mpya kabisa na kurejesha mapenzi lakini dawa ninayoifuataga kwake ni ile kama nikikutongoza ukanikataa basi ukilala utakuwa unaniota mimi kila wakati
