Makapuku Forum

Makapuku Forum

Mungu tunakuomba uibariki na kuiongiza timu ya Taifa ya Tanzania katika mchezo dhidi ya Lesotho...... Mungu ukawabariki walinzi wake wote bila kumsahau Manula..... Ukawatie nguvu na wepesi katika mipango wale viungo wetu..... Usiwasahau washambuliaji Mungu.

Alama tatu kwetu ni muhimu kuliko kwa Lesotho....

 
Mungu tunakuomba uibariki na kuiongiza timu ya Taifa ya Tanzania katika mchezo dhidi ya Lesotho...... Mungu ukawabariki walinzi wake wote bila kumsahau Manula..... Ukawatie nguvu na wepesi katika mipango wale viungo wetu..... Usiwasahau washambuliaji Mungu.

Alama tatu kwetu ni muhimu kuliko kwa Lesotho....

Naona leo umechukua bila kupenda nafasi ya Tumosa ya kupiga maombi!
 
China linii
Mkuu leo tumerudi kutoka China na mambo ni moto!
1463933911(1)(1).jpeg
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom