Nigendako
JF-Expert Member
- Dec 1, 2017
- 23,296
- 122,440
Mvua inanyesha huku,,baridi tu,,ni mwendo wa kupanda mbegu na kusubiria mavunoWeek end iko poa baba wawili nimejilaza tu hapa vipi we uko mvua inanyesha

Mvua inanyesha huku,,baridi tu,,ni mwendo wa kupanda mbegu na kusubiria mavunoWeek end iko poa baba wawili nimejilaza tu hapa vipi we uko mvua inanyesha

Shida ipo sana baba wawili ili ukaliwe na nyenyere jamani



shangazi weweTatzo yy haona shida mkuuHapana mkuu sina sababu nyingine ila naona aibu mie shangazi yangu mpendwa kuliwa!!![]()

Naenda kutekwa tena mie kasome uko Patrick kaweka season 1 sema sasa ndio kapost tofauti tofauti

Watoto wa kudowload nimekuachia mjaze ulimwengu baba wawili wewe na dada ako

Kama nakuona baba wawili uko ulipoMvua inanyesha huku,,baridi tu,,ni mwendo wa kupanda mbegu na kusubiria mavuno![]()
Mm apa jamani shangazi yenushangazi wewe
Ebu niambie jamani unaona aibu ya nini kwani shangazi yako akiliwa we unamchungulia mpaka uone aibuNaona aibu mie!![]()
Vipiii wewe
Mvua inanyesha huku,,baridi tu,,ni mwendo wa kupanda mbegu na kusubiria mavuno![]()

Shikamoo shangaziVipiii wewe
Umeanzaaaa unataka kunifukuzaShikamoo shangazi
Kama nakuona baba wawili uko ulipo



shamba langu msimu huu sipandi,,sema ntakuwa busy kuliandaa tu
Shamba lipii hilo baba wawili usikute umeongea kwa codeshamba langu msimu huu sipandi,,sema ntakuwa busy kuliandaa tu
Shamba kama shamba,,wa mkoani huku huwa hatuna mambo ya code shangaziShamba lipii hilo baba wawili usikute umeongea kwa code

