Shunie
JF-Expert Member
- Aug 14, 2016
- 157,081
- 464,013
Wanavaa ili waonekane warefu au
Wapendwa muwe na usk (mnaolala 2 kz njema) mwema kesho pia sk
Naibu waziriMtt wa baba mzazi baba mwenye daslam yake
Umesahau kujiweka na ww ndani,,asnt kwa nyimbo ya J2
Kwangu poa sn km unavyoona leo nimekua mlinzi humu





Toka saa ngapi unalinda
...kumbe anaishi Znz, basi na yy apate kongole nyingi za kulifanya jukwaa hili kuwa sehemu nzuri kuwepoAsante binamu huyo mkazi wa kigamboni anayetaka kwenda znz ni anaishi znz huyo binamu
Kuna haja ya siku moja kumuacha Shayo na Mama manka ,nami nisogee huko duniani ,hiki kidaftali cha mangi kina nifanya niwe wakuja kila sikuKwahiyo jana ndio ukanikimbia eenh kuwahi next door
Wooooooiiiiii hiviii hatujakimbiana
Wewe si ndio umenikimbia
Ulale unono babe Yesu akutunzeWapendwa muwe na usk (mnaolala 2 kz njema) mwema kesho pia sk
Heels zimenishinda mmEe hata wadada wafupi kama Lulu,Zari etc wanapenda sana viatu virefu waonekane warefu
Miss u mrembo upooMakapuku habari zenu
Kuna haja ya siku moja kumuacha Shayo na Mama manka ,nami nisogee huko duniani ,hiki kidaftali cha mangi kina nifanya niwe wakuja kila siku









Nipo best yake.Miss u mrembo upoo
Asante sana binamuSiku nyingi zijaweka nyimbo za Jumapili, isiwe taabu maana bando nalotumia ni la manati nina pasiwedi ya jirani yeye ana waifai so akilala najidownlodia mavitu
Nakuwekea songi hili kwa niaba ya aunt yangu Shunie binamu, Tumosa marybaby , Numbisa (asante kwa somo la kikwapa, viatu na mambo yetu ya asili). Nimewataja ninyi maana ni watu wazuri na manlifanya jukwaa hili kuwa sehemu nzuri kuwepo.
Mndali ndanyelakakomu nimekuona mdau, longitaimu hujaonekana ila ni jambo zuri kukuona hapa kila wakati, asante anko Lyon Lee , ningendako , Behaviourist muzee ya kupenda chura, mtu chake kula monde mkuu jtatu siku ya kazi na wewe mkazi wa Kigamboni unayetaka kwenda Znz