Nigendako
JF-Expert Member
- Dec 1, 2017
- 23,296
- 122,440
Mimi mhenga kweli,,unatakiwa uamini tu shunieHahahahaha uhenga umeutoa wapi
Wewe si umesoma zile shule za Lowasa??
Mimi mhenga kweli,,unatakiwa uamini tu shunieHahahahaha uhenga umeutoa wapi
Tunakumwagia mazawadi tuMkuu mm na hizo mambo tofauti na uzee huu na kumwagiwa maji wapi na wapi
Khaaaa nitake radhi kaka ningeMimi mhenga kweli,,unatakiwa uamini tu shunie
Wewe si umesoma zile shule za Lowasa??
Utetezi wako bila kapicha ni utetezi batiliMkuu mm na hizo mambo tofauti na uzee huu na kumwagiwa maji wapi na wapi
Mnimwagie mahela tuuu ndio ninayoyapenda mtanimwagia humuhumu makapukuTunakumwagia mazawadi tu
Shunie unapenda ukubwa,,,utafikia tu huku tulipofika sisiKhaaaa nitake radhi kaka ninge
Hahaha picha niianike hapa mzee mwenzangu bahati mbaya aione labda na yeye member jf sijui niachike na uzee huu atanitaka nani shunie mmUtetezi wako bila kapicha ni utetezi batili
Hahaha picha niianike hapa mzee mwenzangu bahati mbaya aione labda na yeye member jf sijui niachike na uzee huu atanitaka nani shunie mm




mhenga akiitwa shangazi anaitikia bila nenoUsiwazeMnimwagie mahela tuuu ndio ninayoyapenda mtanimwagia humuhumu makapuku
Hahahaha mm nimesoma shule ya kidumu na fagio la chelewa saa nne mauwa ya saa nne watu mnakaa chini woiii usinikumbushe machungu ujue halafu naanzaje kumsomesha mtoto wangu kayumba mama akee nisome kayumba na yy nitajinyima mwanangu asome vizuriHahaha Shunie unapenda ukubwa,,,utafikia tu huku tulipofika sisi
Hebu weka pcha tuonehapa nilipo ninacho
mhenga akiitwa shangazi anaitikia bila neno



Ila shangazi shikamoo sitaki
WoyooooooooUsiwaze
Wewe si unakijua kigimbi changuHebu weka pcha tuone
Hahahaha mm nimesoma shule ya kidumu na fagio la chelewa saa nne mauwa ya saa nne watu mnakaa chini woiii usinikumbushe machungu ujue halafu naanzaje kumsomesha mtoto wangu kayumba mama akee nisome kayumba na yy nitajinyima mwanangu asome vizuri



Kapicha ka uhenga dada akeHebu weka pcha tuone
Shunie mhenga kijana,,anataka shikamoo auntiIla shangazi shikamoo sitaki
Nikikwambia mm muhenga unakataa ujue saa nne tunamwagilia mauwa yaani unanikumbusha machungu jamani ya kukaa chini