Makapuku Forum

Makapuku Forum

KUNA makosa mengi sana yanafanywa na watu katika juhudi za kubaki mrembo au kusaka urembo. makosa haya mara nyingi yanaleta matatizo makubwa hasa katika ngozi , macho au katika kichwa.
mara nyingi shughuli hizi za urembo wanawake hujikuta ama wanapitiliza au wanafanya kinyume na kutaka matokeo ya haraka na matokeo yake ni msheshe.
Asanteeee
 
Unachotakiwa na kufutafuta limao au ndimu unaikata kisha unakamua. Chukua kitambaa weka maji maji ya limao na kisha anza kusugua taratibu kwapa lako.
Hakikisha unafanya hivyo wakati ukiwa umetoka kuoga. Pia unaweza kukata limao au ndimu bila ya kukamua na kuanza kusugua katika kwapa lako. Vitu hivyo vina nguvu za kuondoa uchafu katika kwapa.
Mmesikia jamani
 
IMG_1001.JPG
Waziri njenje yupo na nani huyo binamu
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom