Makapuku Forum

Makapuku Forum

Yaani ukiwa na uwezo wa kufanya mapenzi na kuwa na nia ya kufanya mapenzi kunatokana na wakati wmingine na aina ya chakula unachokula.
Wazungu wanasema kwamba vipo vyakula ambavyo kwa mchanganyiko wake vinbatoa kitu kinachoitwa kwa kizungu aphrodisiacs, yaani vitu ambavyo vinapandisha libido na kuachia tamaa kubwa ya ngono.
Vyakula hivi vinapunguza rehemu vinaweka sawa kiwanda cha kufanya mapenzi, vinaleta riha nzuri zaidi na kuweka homoni katika namna ambayo inastahili.
 
Pamoja na kukuongezea hizo hamu lakini vyakula hivyo pia vinatoa nishati ya kukutosha kufanya mapenzi.
Wapo waswali wanaokula ngisi, wapo wanaokula karanga, wapo wanaokula muhogo mbichi, wapo waanaolitengeneza vyema tui la nazi, wapo wanaojua kutumia machicha lakini ninachotaka kusema kama nilivyosema hapo juu ni namna tu ya kupiga chakula ambacho kina kemikali zenye viamsha nyege.
Pia kuna aina ya mvinyo ambayo humfanya binti awe na hamu kubwa ya kufanya mapenzi. wapo wanaozungumzia divai na wapo wanaozungumzia amarula
 
Ni kasheshe kubwa kuirembesha miguu mikubwa, lakini ni kweli kuwa unahitaji miguu yako hiyo kuwa na nafasi kubwa ya kuonyesha uzurui ulionao.Kipendezacho ni chako.Miguu mikubwa si mwisho wa fasheni unachotakiwa kujua ama hakika ni namna ya kuiweka vyema miguu yako na uonekane bomba.
Wapo watu ambao wamekuwa na miguu mikubw akutokana na sababu mbalimbali na pamoja na kuwa na miguu hiyo wka sababu ama z alishe au kutofanya mazoezi wewe kama binti au mke unataka nguo zako zisiwe na ubazazi na badala yake zionyeshe raslimali ulizonazo yaani uzuri wako.
 
Kama unataka kuweka miguu yako mikubwa katika hali bora ni lazima uanze kula lishe njema na pia kufanya mazoezi.
Kitu kingine kizuri kwa wewe mwenye miguu mikubwa au tuseme minene ni kuhakikisha kqamba unavaa nguo zinazofiti lakini nguo zinazobana sana si nzuri hata kidogo na zilizopana kabisa nazo mbaya kwani itaonekana mkiguu yako ni mikubwa sana kuliko unavyofikiri.
Wakati unavaa suruali mathalani, vaa ile ambayo ni pana ambayo haipigii tambo miguu yako.
 
na kama ni viatu lazima uwe unavijulia kwelikweli hata siku moja usivae buti na sketi ambayo inaonyesha miguu yao waziwazi.
nataka kusema hivi kuwa na miguu minene au tuseme mikubwa si tatizo, tatizo ni wewe namna unavyofanya mambo na namna unavyojiweka katika maizngira ya kupendeza na nguo zako za kupendeza ambazo hazibani wala hazipwai.
Na pia unaweza kwa namna nzuri kabisa kuachana na sketi na pensi nyanya ambazo zinakata laini ya miguu yako kama enka nakadhalika.
tengeneza staili ambayo utaonekana wa kawaida na u mrembo katika hilo.
 
Jinsi ya kuondoa kikwapa
Huhitaji fedha za kigeni kuondoa kikwapa .Ni juhudi ndogo tu ya kawaida ya usafi inaweza kukusaidia.Malimao na ndimu na vitu vyenye uwezo mkubwa wa kuondoa harufu na uchafu katika kwapa.
Wengi wamekuwa wakitumia sabuni, krimu na hata pafyumu za aina mbalimbali kwa ajili ya kuondoa uchafu wa kwenye kwapa lakini bila ya mafanikio yoyote.
Matumizi ya ndimu na limao yana matokeo mazuri kwamwili wako kama utatumia kikamilifu.
 
Unachotakiwa na kufutafuta limao au ndimu unaikata kisha unakamua. Chukua kitambaa weka maji maji ya limao na kisha anza kusugua taratibu kwapa lako.
Hakikisha unafanya hivyo wakati ukiwa umetoka kuoga. Pia unaweza kukata limao au ndimu bila ya kukamua na kuanza kusugua katika kwapa lako. Vitu hivyo vina nguvu za kuondoa uchafu katika kwapa.
 
Ni muhimu kusafisha kwapa kwani kwapa linapokuwa si safi hata unapovaa nguo ya wazi unakuwa huna uhuru wa kunyanyua mkono juu pindi inapokulazimu kufanya hivyo.
Kwapa ni sehemu muhimu sana ni lazima iangaliwe kwa namna ya pekee na uhakikishe unakuwa safi muda wote ili kuondoa harufu na muonekano mbaya katika kwapa.
 
jinsi manukato yanavyoweza kuwa na manufaa katika urembo wako.
Ukitaka kuwa mrembo ni wazi kuwa unatakiwa kuuweka mwili wako katika hali nzuri ya kupendeza kuanzia mavazi, mitindo ya nywele.Ndio kusema kuna vikorombwezo kibao vinavyotakiwa ili kukufanya uwe mrembo zaidi.
Manukato nayo ni muhimu katika kunogesha urembo wako.Nadhani ulishawahi kusifiwa au kusifia mtu kutokana na manukao anayotumia na wengi wetu tumekuwa tukitumia aina za manukato ambazo tunaona zinatufaa zaidi.
 
Kwa upande mwingine flat shoes vimekuwa vikivaliwa sana na watu ambao wana uzito mkubwa na wale ambao hawapendi kuvaa viatu virefu.
Pia viatu hivi vimekuwa vikivaliwa kulingana na aina ya nguo uliyovaa kwani wakati mwingine nguo huendana na aina ya viatu kitu ambazo watu wengi huwa hawakizingatii mavazi mengine yanatakiwa kuvaliwa na flat shoes.
Na kitu kingine cha kuzingatia ili upendeze na aina hii ya viatu unatakiwa kuchagua vinavyoendana na rangi ya nguo uliyovaa.

...mimi nina kitambi, sio flat shoe tu ndo navaa , sipendi viatu vya kufunga gidamu, navaa vya kuchomeka tu sio nianze kuinama kusumbua kitambi changu nilichokisumbukia kwa muda mrefu

42186c23734edfe2b1594d680c1eeb5f.gif
 
Ni vizuri kuchagua aina ya manukato na njia nzuri ni kupulizia kigogo kwenye mkono wako ili uweze kujua harufu yake kama umependezwa nayo au laa. Usitumie manukato ya aina fulani kwa sababu fulani anatumia.
Jaribu kutafuta aina ya manukato uliyoyachagua kwani kuwa mnukato yana harufu kali na hili huleta taabu kidogo kwa baadhi ya watu unaokuwanao karibu.
Chagua manukato ambayo yana harufu iliyotulia na pia ukali wa manukato wakati mwingine husababisha kujipulizia kiasi kikubwa cha manukato hali ambayo huwa kero kwa wengine.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom