Makapuku Forum

Makapuku Forum

Mambo yanayoharibu katika urembo ni pamoja na kutokuangalia fiziki yaani kutofanya mazoezi. Hata kama hakuna mtu ambaye atakuona kuacha kufanya mazoezi, kutojali usafi kunatibua muonekano wako na kuondoa kujiamini.
Kitu kingine ambacho watu huwa hawakijali ni kusafisha na kurekebisha meno yao. Unapotabasamu kitu cha kwanza kuonekana kwa watu ni meno yako. basi jaribu kuyajali kidogo. yasafishe na hakikisha yanapendeza.
 
Kitu kingine ambacho huwa watu hawajali ni kuhakikisha kwamba mikono yao i safi na isiyokuwa na mikwaruzo. Usisahau kuitia mikono yako losheni na kuweka kucha zako safi na zinazopendeza na rekebisha kucha hizo.
Usizivuruge sana kope zako, jaribu kutafuta kitu kitakachopendezesha kope zako na kama kuna makosa usizigandamize bali weka kinachotengeneza uonekano safi.
 
Asantee hii elimu wanaikosa wengi
Mambo yanayoharibu katika urembo ni pamoja na kutokuangalia fiziki yaani kutofanya mazoezi. Hata kama hakuna mtu ambaye atakuona kuacha kufanya mazoezi, kutojali usafi kunatibua muonekano wako na kuondoa kujiamini.
Kitu kingine ambacho watu huwa hawakijali ni kusafisha na kurekebisha meno yao. Unapotabasamu kitu cha kwanza kuonekana kwa watu ni meno yako. basi jaribu kuyajali kidogo. yasafishe na hakikisha yanapendeza.
 
Ilikua inahitajika km tuu ningekua nimewahi misa leo,lkn kwa vile sikwenda bc haihitajiki tena Binam

...aiseee, hayaumeniweza kwa jibu murua kabisa
Idris-Elba.gif
 
Kuwa mwangalifu na vitu unavyotengeneza au unavyodhani vinafaa kw aurembo wako. vingine vina aleji viogope. na ukipata aleji usikimbilie kujaza kitu kingine bali angalia nini na tafuta suluhu yake kwanza.
La maana ni kuwa ni vyema kujaribu kwanza kitu katika kiganja au mkono mahali padogo kabla ya kuanza kutumia inavyostahili hasa kwa bidhaa unazotengeneza mwenyewe.
 
Moja ya vitu ambavyo humfanya mtu kuwa na furaha na maisha mazuri ni ubashashi unaombatana na kuondoka kwa mikonjo ya moyo kwa kupata huduma ya ngono.
Nyingi ya dawa zinazoleta hamu ya ngono puia husaidia kurekebisha mfumo wa afya ya mwanamke, ndio maana nimetaka kwa hapa kidogo kuzungumzia vyakula vya kuleta ashki
Watafiti wamesema kwamba kuna aina fulani ya vyakula huleta ashki kubwa kiasi cha kuwafanya watu wawe na hamu ya kufanya ngono.
 
  • Thanks
Reactions: Obe
Vyakula hivyo vimedaiwa kuwa na aina fulani za kemikali ambazo hufumua mifumo ya tamaa na kufanya dai la kufanya ngono kuwa na nguvu zaidi.
Kutumia chakula kitamu kwa upungufu na kupata lishe kamili yenye uhakikakunaweza kukufanya wewe kufurahia ngono na kutamani kama masuala hayo yameanza kukimbia.
Yaani ukipata dozi inayotakiwa ya protein, carbs, na fats ni dhahiri utakuwa na nguvu zaidi kuliko hapo awali.
Lakini kabla sijakuchanganya zaidi natakakusema kwamba kuwa na nguvu ni kitu kingine na kuwa na hamu ya kufanya ngono na kuimudu ni kitu kingine.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom