lizziebettie
JF-Expert Member
- Aug 3, 2014
- 2,873
- 11,966
Hamna kibaya babeNaona
Hamna kibaya babeNaona
Miss you so much
Kweli haya babyHamna kibaya babe
bwana anasema twaen mnywe wote hii ndo damu ya mwana...Anaponya mwili na roho
Brother naamini leo umeona mwenyewe live bila chenga jinsi shemeji asivyokuwa mwaminifu.Kumbe
I love uKweli haya baby
Wazima sana, sijui wewe!Ndugu wazima humu?
Umbea hauna poshoBrother naamini leo umeona mwenyewe live bila chenga jinsi shemeji asivyokuwa mwaminifu.
Nasubiri kusikia hatua madhubuti utakazochukua kaka.
Usiniangushe kabisa,kama vipi PIGA chini.
Nasema hivi utasubiri sana miaka buku.Brother naamini leo umeona mwenyewe live bila chenga jinsi shemeji asivyokuwa mwaminifu.
Nasubiri kusikia hatua madhubuti utakazochukua kaka.
Usiniangushe kabisa,kama vipi PIGA chini.
Kuchapiwa ni siri ya ndaniChakula sawa ila mpenzi wangu hapana
Love you too babyI love u
Kwakeli bibi leo umeongea points sana.Ndo mnataka sababu leo kwako kesho kwa mwenzio. Zamani ukilipa mahari ni pombe na mnainywa wote baada ya hapo imekwisha! Ukimtesa mwanangu anatoka hudai kitu. nenda kwa wakurya anaoa ng'ombe mia si amenunua mtumwa?? Who decides all these? Eti mababa. Kweli wewe baba una akili timamu unajua mkwe wako ndo anakuwa sehemu ya familia yako unamtoza yote hayo? Ndo maana wakwe wengine wanawatukana baba wake zao sababu waliwauza watoto wao.
Ninaandika kwa kuonyesha jinsi watu walivyokuwa wanyama au money mongers!!! Sitatolea mfano nisijenikajulikana ila tumelipa over 5 million kuoa hivi ni sawa??? niliolewa kwa mbuzi mmoja na shuka la mama na vibuyu 30 vya pombe na bado nipo kwenye ndoa over 35 na utadhani nimeolewa jana.
Jipe moyo. Hata wewe unataka kunizunguka kweli sina ndugu hapaKuchapiwa ni siri ya ndani
![]()
![]()
![]()
![]()
......
Utamwambia nn?Nilifikiri "nitamwambia"
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
............
Love you too baby

Shemeji leo mapema sana.Uck mwema wapendwa
Kweli mapenzi upofu.Nasema hivi utasubiri sana miaka buku.