SitakiiiiiiUsinidaiiiii sasa inabidiiii nikulipe mia sita 50 ya mwendo kasi mara mbili
Yaani ndo unataka kunikana hadharani wewe sio binamu yangu mtoto wa mjomba, au?!![]()
![]()
![]()
![]()
ubinamu wenu siuelewi mbona
Vipi tena dada?! Kwani anataka nini?!Sitakiiiiii
Binamu chige eti anataka kunipa nauli ya mwendokasi 650Vipi tena dada?! Kwani anataka nini?!
WHAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAT?! Yaani dadangu mimi anataka kuhongwa 650?! Au sijaelewa?!Binamu chige eti anataka kunipa nauli ya mwendokasi 650
Kweli we binamu yngu kwa shangaziYaani ndo unataka kunikana hadharani wewe sio binamu yangu mtoto wa mjomba, au?!

Hata hajui nini maana ya kunyonya,Kwani mbebez wako ananyonya kama future husband wa wema jamani

WHAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAT?! Yaani dadangu mimi anataka kuhongwa 650?! Au sijaelewa?!
utakuwa umeelewa vzrHeshima yko binamu...hawa mbwa wa Ulaya wanataka kutuchosha, yaani mbwa aache kutambua mwizi ajihangaishe na malaria!!!
Mwambie hizo shikamoo anipe mimi!Sasa wewe endelea kuniamkia na shikamoo zako uone kama utaniona