Makapuku Forum

Makapuku Forum

Tumosa
IMG-20181030-WA0004.jpg
 
Hatimaye Marekani imetoa wito kwa Saudi Arabia na washirika wake kukomesha vita dhidi ya wapiganaji wa kihouthi wanaoungwa mkono na Iran nchini Yemen .

Yemen inahitaji msaada mkubwa wa kibinadam baada ya mapigano ya miaka minne kuharibu muundo msingi.

Mamilioni ya watu wananjaa na wengi wanaugua utapia mlo baada ya Saudi Arabia kuweka vizuizi kwa njia zote za ardhini angani na hata majini. View attachment 917112

...bora wameanza na kuweka picha za ngozi nyeupe, walikuwa wanatuonea kwa kuweka picha za Waafrica tu
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom