Kwema za wwMakapuku wenzangu, kwema humu?
Sema kweli binamu chege jamani kwahiyo hapo umenyegeka eenhUnaona sasa... hiyo ndiyo tone ya kuombea Peruvian hairs manake inanyegesha nyegesha!
We nikule tuuuu binamu yangu kumnyima binamu kitu unacho dhambiMkuu Wick, hapa nikiwa ndani ya wiki ya majungu na fitina ningependa kwa heshima na taadhima kuchukua nafasi hii kusema kwamba, ndugu yangu, tufanyiane mtimanyongo kwa mengine lakini sio kwa maneno! Kwahiyo, Binamu Shunie umesema?!
Sasa wewe endelea kuniamkia na shikamoo zako uone kama utanionaUsiondoke![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
Mm mzima Manga sijui ww huyu anataka kufukuza watu humu na shikamoo zaoNlikua napita tu ila hilo neno apo limenishinda kuvumilia ha ha haa
Natumai muwazima wote?
Naendelea kupita tu
Kaká ninge jamani za wwKwema mkuu,,habar za majukumu??
Kwema jamani sijui kwakoMarhaba shunie,,,kwema huko?
Binamu shikamoo...marhaba binamu, naamini uko poa sana. wikend ilikuwaje kwako/?