Na utafiti uliofanywa na taasisi ya kukuza Undugu Duniani, yaani World Brotherhood Initiative, unasema kwamba, watoto wanaozaliwa kutokana na migegedo ya binamu, wanakuwa majiniasi!Utafiti uliofanywa na chuo cha Harvard unaonesha wanaume wanaojichua au kufanya mapenzi mara 21 au zaidi kwa mwezi wanapunguza uwezekano wa kupata saratani ya tezi dume kwa asilimia 33%.
Katika tafiti zilizofanywa kipindi cha nyuma zilikuwa zinaonesha kufanya mapenzi mara kwa mara kunasaidia kupunguza hatari ya kupata saratani hiyo, ila utafiti huu wa Harvard umehusisha na kujichua ambapo vitendo hivyo vinasaidia kuondoa toxins zinazosababisha saratani kwenye kibofu.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] Wapiga puchu hapa mmepata sababu sabuni zitaadimika sasaView attachment 915821
My Take: Binamu, tufanye kweli tupate mtoto jiniasi!