Behaviourist
JF-Expert Member
- Apr 8, 2016
- 39,924
- 95,755
Ana chura?Niaje shemeji yangu wa ukweli kabisa
Ana chura?Niaje shemeji yangu wa ukweli kabisa
Yeah anayo mkuuAna chura?
Kaka ake mie[emoji113] [emoji113] [emoji113]Aiseee,,,ngoja tumsubr siku akija atasema tatzo ilikuwa nn
Shikamoo dada!
Cheka na Numbisa itatujia lini?[emoji1][emoji1][emoji1]Marahabaa mzee wa chura
Poa shem wangu mmNiaje shemeji yangu wa ukweli kabisa
Binamu sasa fursana ndio zawadi gani jamani na ubahili wako huo watoto wazuri utaishia kuwaita shemeji...tena akija mwambieni kabisa ninamtafuta, na ninatangaza zawadi kwa atakayemuona, atajinshindia kitita cha nguvu kitakachomuwezesha kununa Fursana ya Azam
Na wanyoe jamani makwapani khaaa mtu upo kwenye mwendokasi mwanaume kasimamia bomba kwapa manywele tena vya brownPia ni vizuri kuhakikisha usafi wa kwapa ili kuweza kuhakikisha kuwa,singlet yako inakuwa katika hali ya usafi muda wote na ili isiwe tabu kwako kuinua mkono kwani wengi wanaficha kwapa zao kutokana na uchafu kitu ambacho si kizuri.
Uvaaji huo unazingatia sana rangi kutokana na matakwa ya mvaaji ila wengi wanapendelea rangi nyeupe.
Nguo yoyote ya rangi nyeupe ni nzuri na inapendeza ikivaliwa kwani rangi nyeupe pia huonyesha kipimo cha usafi wako.
Kwa kina dada wanaopenda kuvaa singlet nao wanatakiwa kuhakikisha kuwa kwapa zao zinakuwa safi ili kuweza kuwa huru zaidi.
Kwani mbebez wako ananyonya kama future husband wa wema jamani[emoji15][emoji15]kwa unyonyaji wa jamaa alonyonya lips ya wema.?
Hapana wacha ayatazame yarudi kwa brah [emoji53]
Kaká ninge baba wawili wa kudownloadHabari za asubuhi ndugu zangu
Kumbe sijakusalimia dada Ester??
Nmeamka na mambo mengi,,ada za shule za anti zako znanchanganya hapa
Shikamoo dada
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Marahabaaa,acha kusumbua anti zako kukulipia ada[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23](mie ndo nimeelewa hivyo)
AsanteeeeeeUondoji wa nywele katika maeneo flani
MWANAMKE na hata mwanaume anatakiwa kuwa msafi na si usafi wa kubahatisha.Sehemu ya nywele za siri zimeelezwa kuwa ni sehemu ambapo ngozi yake ni yenye kuhitaji uangalifu mkubwa wakati wa kuziondoa.
Hizi si nywele za kawaida na haziwezi kuondolewa kiholela.Sehemu zinazokaa nywele hizo ni kwapani na maeneo ya faragha.
Cheka na Numbisa itatujia lini?[emoji1][emoji1][emoji1]