Shunie
JF-Expert Member
- Aug 14, 2016
- 157,076
- 463,978
Bibi mpori yupoje huyo
unapasikia Mikumi?.
Ushawahi fika kwa bibi mpori?.
subiri
unapasikia Mikumi?.
Ushawahi fika kwa bibi mpori?.
subiri
Ukimaanisha tunywe wote!?..
HahahahahaKaaaah...
Naona kabisa hujaridhika na jibu langu.
Hivi dada hakukuambia kwani?Hahahahaha
Ni kweli
Hivi dada hakukuambia kwani?
Hahaha...Kasema hajui
Hahaha...
Jamani mbona kila msimu wa mvua tunakumbushana kulima? Kaaah
Haya bhanaaa..
Siku nitakuletea ndizi na maharage mabichi ndio utajua.
Mambo ya moshi-arusha-lushotoKheeeeeeee
Ulivyonitajia hivyo vitu umenichanganya
Hata najua basi, ukifika mitaa ile ukakunja kushoto kama waelekea Ifakara ana bango lake!.Bibi mpori yupoje huyo
hunisaidii kunywa!?..Unywe na naniiiiiiiii
We si ndio umetaka sumu
Mambo ya moshi-arusha-lushoto
Nini tena..?Makubwa haya T
hunisaidii kunywa!?..
Nini tena..?
Sasa mimi si mkulima jamani..Umejuaje hizo habari lakini
![]()
![]()
![]()
![]()
au ulilewa T
Nimekuachia ww sasa zamu yako
Sawa TSasa mimi si mkulima jamani..