Makapuku Forum

Makapuku Forum

.
Screenshot_20181009-121452.jpeg
 
Hofu na wasiwasi imekumba jamaa marafiki na chama cha upinzani cha Victoire Ingabire, FDU nchini Rwanda baada ya serikali kutangaza kuwa naibu rais wa chama hicho Boniface Twagirimana ametoweka kutoka gereza la Mpanga.

FDU inapinga ripoti ya idara ya Magereza ya Rwanda ikidai haiwezekani mfungwa aliyehamishwa katika gereza hilo lenye ulinzi mkali siku 3 zilizotangulia kutoroka. Boniface ni naibu wa Victoire Ingabire aliyepewa msamaha wa rais Paul Kagame majuzi.
Screenshot_20181009-122526.jpeg
 
Kampuni inayomiliki Google Alphabet,imeanza kufunga mtandao wake wa kijamii Google+ baada ya kudukuliwa.

Google imekiri kuwa takriban data ya watu wenye akaunti laki tano zilidukuliwa mwezi Machi lakini hawakufichua kwa hofu ya kuadhibiwa na taasisi husika.

Je unakubaliana na maelezo ya kwanini Google waliweka siri kuwa mtandao wao umedu
Screenshot_20181009-122705.jpeg
 
Jeshi la Polisi limesema litatoa dhamana siku zote za wiki kama ilivyoagizwa na Waziri wa Mambo ya Ndani, Kangi Lugola, lakini pia litazingatia usalama wa mtuhumiwa.

Kama mtuhumiwa atatimiza masharti ya dhamana usiku ambapo kumwachia kutahatarisha usalama wake, hawatamwachia
Screenshot_20181009-122907.jpeg
 
Mtanzania George Jonas anayefanya kazi na kampuni ya uundaji ndege ya Boeing ya nchini Marekani, amependekezwa kuwania tuzo ya Muhandisi Bora Mweusi (BEYA) nchini humo.

George alikuwa miongoni mwa wataalamu walioileta ndege mpya ya serikali, Boeing 787-8 Dreamliner mwezi Julai.
Screenshot_20181009-123025.jpeg
 
Lulu Jemimah, raia wa Uganda na mwanafunzi wa Chuo Kikuu cha Oxford nchini Uingereza ameamua kujioa mwenyewe baada ya maneno ya kila wakati toka kwa wazazi & ndugu kutaka aolewe.

Lulu mwenye umri wa miaka 32 ni mwanafunzi wa shahada ya uzamili katika chuo hicho mashuhuri duniani.
Screenshot_20181009-123253.jpeg
 
Jeshi la Polisi Wilaya ya Iringa limemzuia Mbunge wa Iringa Mjini (CHADEMA), Mchungaji Peter Msigwa kuendelea na mikutano ya kisiasa kwa kutoa maneno ya kashfa, uchochezi na yanayoashiria uvunjifu wa amani.
Screenshot_20181009-123410.jpeg
 
Lulu Jemimah, raia wa Uganda na mwanafunzi wa Chuo Kikuu cha Oxford nchini Uingereza ameamua kujioa mwenyewe baada ya maneno ya kila wakati toka kwa wazazi & ndugu kutaka aolewe.

Lulu mwenye umri wa miaka 32 ni mwanafunzi wa shahada ya uzamili katika chuo hicho mashuhuri duniani.View attachment 891654
wanaume hawajawajibika hapa
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom