The Boldly
JF-Expert Member
- May 21, 2017
- 2,377
- 5,150
Kiungi wa Kati wa Manchester City, Kevin de Bruyne, 27,anajiandaa kurejea uwanjani baada ya kupona jeraha alilopata wakati wa mchuano wa City dhidi ya Burnley Oktoba 20 baada ya klabu hiyo kuhofia kumchezesha kingo huyo wa kimataifa wa Ubelgiji mjini Liverpool siku ya Jumapili.(ESPN)


.