Shunie
JF-Expert Member
- Aug 14, 2016
- 157,400
- 465,165
Hahahahha
Yaan wewe
Yaan wewe
Shululu yuko wapi?
Shululu yuko wapi?
Halafu nakukuta makapuku tu, mitaa yako ipi wewe?. Kama huna nikupeleke sehemu.
Nimwite mimi uje umkaribishe wewe?!....mbona majanga!!
Binamu naomba nyimbo ya upendo ya fanuel sedekia. [emoji120][emoji120][emoji120][emoji120][emoji120]...mimi nabadilibadili, mara nitumie simu, mara laptop, kesho ipad, kesho kutwa tablet ilmradi tu mteja akileta atengenezewe mimi nazitest kwa kuingia JF.
Zamani nilikuwaga fundi saa, siku hizi natengeneza simu na tablets
Mashabiki wa Simba mnaendeleaje hapo Msimbazi?
@shunie
Rafiki hii adhabu ya kulinda jukwaa msije mkanipa mimi please!
Safi mrembo upo za kupoteaHabari zenu
Shemela habari yako[emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3]
Nzuri kabisa shemela, za kwako shemela wanguShemela habari yako
Waoooooooo!....Afadhali arudi,hakuna kama dada ila lazima anieleze alikuwa wapi![emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] wewe utaweza kutulia tu humu umeshazoea kuzurula kudai chura halafu kesho dada anarudi
mume mwenza naona Umeshaachwa totally ".Kumekuchaaaa swalamaaaa
Nakusalimia mkuumume mwenza naona Umeshaachwa totally ".
Na makucha yakeKume kucha