Yupo vp rafiki unamuhitaji?Shululu yuko wapi?
Halafu nakukuta makapuku tu, mitaa yako ipi wewe?. Kama huna nikupeleke sehemu.Hawezi kuja yule
Nmesahau ni wapi ila nilikupa like
Kiranja wa forum hii ya makapuku upo?....ulishafanyia kazi lile ombi langu?Yupo vp rafiki unamuhitaji?
Halafu nakukuta makapuku tu, mitaa yako ipi wewe?. Kama huna nikupeleke sehemu.
mm mlinz mkuu wa hapa,unataka unipeleke wapiLipi mkuuKiranja wa forum hii ya makapuku upo?....ulishafanyia kazi lile ombi langu?
Ataachaje kunijua mtu kama mimiDuh!!....kiranja anadai hakujui!
Kama hujawapata nitashauri unyang'anywe hiki cheo cha ukiranja!Lipi mkuu
Wenye vyura sijawapata
Haina shida cheo chenyewe hakina hata malupulupuKama hujawapata nitashauri unyang'anywe hiki cheo cha ukiranja!

Nimwite mimi uje umkaribishe wewe?!....mbona majanga!!Baba wawili karibu shululu
Nimwite mimi uje umkaribishe wewe?!....mbona majanga!!
unajua ni nani kwangu huyoHaaaaahaaaaNimwite mimi uje umkaribishe wewe?!....mbona majanga!!
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
kwa hyo ww unatumia nn
Mimi sina haja ya kuyajua hayo ninachotaka fanya ile assignment yangu kwanza!![]()
![]()
![]()
unajua ni nani kwangu huyo