Behaviourist
JF-Expert Member
- Apr 8, 2016
- 39,924
- 95,728
ila statement ya The Book imenichekesha sana sijui ni kwa sababu ya ugeni wangu tu hapa,sasa mnakuwa mnalinda kitu gani?![]()
![]()
![]()
![]()
ntalinda mwenyewe



ila statement ya The Book imenichekesha sana sijui ni kwa sababu ya ugeni wangu tu hapa,sasa mnakuwa mnalinda kitu gani?![]()
![]()
![]()
![]()
ntalinda mwenyewe



Tunalinda jukwaa letu pendwa hili lisijevamiwa na majangiliila statement ya The Book imenichekesha sana sijui ni ugeni wangu tu hapa,sasa mnakuwa mnalinda kitu gani?![]()

Rafiki ila mimi siyo jangili,si ndiyo eeeehh?Ndiwoooo![]()
![]()
![]()
Ww sio jangili si ndo maana tunalinda wote hapaRafiki ila mimi siyo jangili,si ndiyo eeeehh?

Looooooooh!!....Rafiki mimi nalala,hiyo kazi naiogopa siiwezi!Ww sio jangili si ndo maana tunalinda wote hapa![]()
![]()
![]()
Looooooooh!!....Rafiki mimi nalala,hiyo kazi naiogopa siiwezi!
sawa uwe na ucku mwemangoja nikakutafutie vijiwe kule..Huwa naenda mara chache
Anza lindo sasa tusije tekwa na wengine.Atakuwa katekwa huko
Wakuu wa Manchester United wamemshauri Zinedine Zidane kutotafuta umeneja kwingine wakati wakiamua hatma yake Jose Mourinho. (Mirror)
Asante mwayaHongereni
Nilikuwa bizee balaaa nimerudii
Santeeeeee numbi5.usisikilize watu.
Ninaposema usikilize mtu , kuna watu wanapenda kukatisha watu tamaa , ukiwa umeamua kufanya kitu songa mbele bila ya kusikia ya watu. unaweza kusikiliza lakini unapima. kama yana akili.
6.Changamoto itakufanya utokezee mahali.
kama ukikutana na watu wenye mafanikio makubwa , wale wanaojulikana ulimwenguni , wamepitia changamoto nyingi na ngumu sana. na ni lazima uelewe hakuna mafanikio yanayokuja bila ya changamoto. . changamoto huleta mafanikio na mafanikio huleta changamoto. huwezi kufanikiwa ikiwa maisha ni rahisi .

5,MWAGILIA MBEGU
Maisha yetu ni sawa na shamba au mmea uliooteshwa ,unatakiwa kumwagiliwa na kupaliliwa ili uwe na rutuba na afya njema, wakati tunapopalilia tunaondoa uchafu na vitu ambavyo vinaleta kukosesha hewa , kwa hiotunatoa ili kuacha mwili uwe safi .
unapokuwa na tabia nzuri unajiongoza kuwa na mawazomazuri,jisamehe mwenyewe, usiige tabia za watu ,amini utendacho,fanya upendacho,kula vizuri ,matunda mboga ,tafakari ,ishi sasa.
6. FURAHIA MIPANGO ULIONAYO.
Acha kufikiria mambo yaliyopita,anza kufikiria yaliyopo , Hakuna mtu ambaye anaweza kurudi nyuma nsa kuanza upya, lakini unaweza kuanza upya ulipo na kumaliza salama safari yako yenye mafanikio makubwa.
Kufanikiwa kuwa na afya kila mtu anataka, furahia maisha,furaha ya kweli haiji tu kwa kuangalia TV.au kuangalia idadi ya vitu ulivyonavyo hapana , furaha ya kweli huja pale unapofurahia kila dakika na kilahatua ya maisha yako ya ushindi.
Aisee kumepoa humu
Hauzimiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiii



















































moto hauzimiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiii 































































,,,yaani binamu ukiniita tu mimi natupia limuziki lenye gitaa ndani