Tumosa
JF-Expert Member
- Jul 21, 2016
- 16,527
- 52,623
jana sijafanikiwa shemela leo naingia tena mzigoni usijaliUmesha okota tayari
Nasubiri mgao hapa
Tazama mkate huu kwenye picha. Bila shaka unakaa kama mkate mwingine wowote wa kawaida.
Hatahivyo umepikwa kwa unga wa kombamwiko.
Watafiti wa vyakula Brazil walivumbua unga huu kama suluhu kwa tatizo la uhaba wa chakula duniani. Mkate wa kawaida wa gramu 100 ulikuwa na gramu 9.7 za protini.
Mkate wa kombamwiko wa gramu 100 una gramu 22.6 za protini. Amua wewe je, upo tayari kula mkate wa kombamwiko? View attachment 887076

@behaviourist utukome hatutaki kufa bora tubaki na flat zetuMwanamke wa pili amefariki baada ya kufanyiwa upasuaji wa kuongeza makalio maarufu kama ”Brazilian Butt Lift ” BBL.
Upasuaji huu umeibuka kuwa maarufu miongoni wanawake kutokana na shinikizo la jamii na baadhi ya wanawake kutaka kuwa na muonekano wa kuvutia.
Watu maarufu kama vile Kim Kardashian , Kylie Jenner na Cardi B wana umaarufu mkubwa katika mitandao ya kijmaii ambapo huchapisha picha zao wakionyesha makalio yao yalio mviringo.
Je ni wakati wa serikali kote duniani kutoa muongozo ili kuokoa maisha ya dada zetu ?
Nyie wanaume wapenda chura mmeona sasa mnasababisha watu kufanya operation ya kuongeza chura wengine mpaka wanakufa cc Behaviourist View attachment 887079
Acha uwake motoHauzimiiiiiiiiiiiiiiiiiiimoto hauzimiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiii
uwake motoooooooo
moto na uwakeeeeeeeeeeeee
View attachment 887083

Kila la kheri shemelajana sijafanikiwa shemela leo naingia tena mzigoni usijali
usiwaze utapata tu

Mnanishambulia sana,kuanzia leo ngoja nijifanye kuwa sipendi chura wakati moyoni napenda!@behaviourist utukome hatutaki kufa bora tubaki na flat zetu
Mnanishambulia sana,kuanzia leo ngoja nijifanye kuwa sipendi chura wakati moyoni napenda!
we endelea mkuu ,tii kiu yko ya churaRafiki kwa kunisaidia nipe list ya wadada wote hapa wenye chura![]()
![]()
![]()
we endelea mkuu ,tii kiu yko ya chura
Ngoja niwe makini kuwaangalia nikiwaona ntakutonyaRafiki kwa kunisaidia nipe list ya wadada wote hapa wenye chura

Tuko poaHabari ya asubuhi makapuku forum
Bila shaka mmeamka poa